Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Lazima tufungwe piga ua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwinyi Kazimoto ni noma!
tumeshapoteza mwelekeoKwa nini lazima tufungwe?
Mwinyi Kazimoto ni noma!
Hata haonekani....
Kwa nini lazima tufungwe?
hiki kipindi cha pili Uganda wanatawala mpira. kinacho onekana taifa star hawajaiva kimazoezi sababu wanakimbizwa sana. Okwi anawakimbiza sana mabeki wa kili. inabidi kili wajitume watumie juhudi binafsi, waache kujiangusha bila msingi maalum. Hata kutuliza mpira wanashindwa. yaani wanacheza kizembe. nafikili mmenisoma. MIA