Live: Nusu fainali ya challenge cup

Live: Nusu fainali ya challenge cup

Kili staz wanakosa umakini.
 
mgosi mimi naona abadilishwe. hashambulii, hakabi wala hajui kutuliza mpira. sijui kwanini wamemuacha uwanjani hadi mida hii. Mia
 
Okwi anapewa kadi ya njano...
 
Mgosi ni tatizo, haya mabadiliko hayajatusaidia kitu. Yametuharibia.
 
mijadala ya waganda;
Hair raising moments for Uganda here. Ngasa dribbles to the byline and crosses for the unmarked Ngosi but the ball was over hit. Massive let off for Uganda
 
Kama ndo hivo basi Waganda wabovu, kwanini hawafungi? waangalie wasije pigwa kaunta ataki moja kama Man U jana:tongue:

Wanakosa umakini kwenye umaliziaji kama kili staz.
 
Dk. 90 sijui wataongeza ngapi za kufidia wachezaji wetu kujiangusha-angusha.
 
hiki kipindi cha pili Uganda wanatawala mpira. kinacho onekana taifa star hawajaiva kimazoezi sababu wanakimbizwa sana. Okwi anawakimbiza sana mabeki wa kili. inabidi kili wajitume watumie juhudi binafsi, waache kujiangusha bila msingi maalum. Hata kutuliza mpira wanashindwa. yaani wanacheza kizembe. nafikili mmenisoma. MIA

Sio kujiangusha kwa makusudi...wana lishe mbovu...chips mayai na wali... Then unaongezea na starehe,majibu ni kukosa stamina na kuanguka chini kila contact.
 
mijadala ya waganda;
Hair raising moments for Uganda here. Ngasa dribbles to the byline and crosses for the unmarked Ngosi but the ball was over hit. Massive let off for Uganda
Mkuu, weka link ya forum ya hao Waganda basi...
 
NV:
A bit of drama here as Cranes players hound the referee for booking Musa Mudde. And the fourth official has signalled FOUR minutes of added time
 
hivi hawa wachezaji wa kili wote wanavuta bangi? Mbona wanacheza fyongo makusudi halafu wanajifanya kulalamika? wanatia maudhi sana. wamepata faulo mbele ya goli la Uganda jamaa kapiga juu mpaka aibu. mia
 
Back
Top Bottom