Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Maswali yawe ya moja kwa moja siyo ya kusomewa na Bulendo kwani anaweza akayapunguza makali.Kutoka kwa Waziri, watazamaji wamepata ufafanuzi wa kina wa masuala muhimu yanayohusu uhuru na haki ya taarifa na sekta ya habari na mawasiliano kwa ujumla. Taarifa sahihi na kamili ni nyenzo muhimu kwa wachambuzi na wadau wa siasa na habari. Ni matarajio ya wengi kwamba Waziri atapata fursa nyingine kutoa maelezo ya serikali ili kurekebisha upungufu wa taarifa unaozikabili taasisi za habari na mawasiliano nchini katika kutekeleza majukumu yake ya asili na kisasa.
Mkuu Elvis Chirwa (Arton ni ndugu yetu?), tunafanya maboresho ili watu waulize maswali direct live on the program.Maswali yawe ya moja kwa moja siyo ya kusomewa na Bulendo kwani anaweza akayapunguza makali.
Duh...!.Jana Mkuu ulikuwa umejikita kumsifia Waziri
Arton ni ndugu yetu? Sijaelewa, nitashukuru endapo mtawezesha maswali ya moja kwa moja.Mkuu Elvis Chirwa (Arton ni ndugu yetu?), tunafanya maboresho ili watu waulize maswali direct live on the program.
P
Karibu
Paskali
Mna jipya gani ikiwa mnachoongea nikile watawala wanataka kusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazungumziaje kuhusu wananchi kunyimwa habari hasa takwimu za corona, maana naona kimya tumemaliza wiki kwa kisingizio cha uhakiki wa maabara.
Tunakufuatilieni mkuu
Haya mambo yanawaumiza sana bavicha
Mfalme wao Mbowe,kaongea na BBC lakini habari wanapashana wao kwa wao tu,dunia haina habari nae
Nakuona Pascal na Dr
Tusaidie pia kumhoji nini tofauti ya Yeye kuwa Mwanasiasa na alivyokuwa Mhadhiri tuliemfahamu zama zile?
Tunasubiria Waziri majibu nondo za Max!
Hii ya Kiongozi wa serikali kuwanyanyapaa waandishi wa habari kwamba wakimsogelea watamwambukiza Corona ndio imenishangaza sana!!!
Leo mayala amejitahidi kumuuliza maswali lakini makiembe anaonekana kudhoofika mno kashindwa kujibu maswali kabisaa
Hata bulendu wamempiga maswali kuhusu kuporomoka kwa uandishi wa Habari lakini ameshindwa kujibu analalamikia kuwa wameporomoka kutokana na kukataa ushogaaa
Huyu Dr Mwaki tangu awe kwenye list ya in patients wa Apollo Hospital sijswahi kumuelewa.
Wewe tulisha kudharau kama wenzako kina Kipara kipya, Magonjwa mtambuka na mazuzu wengineVipi wale Chadema waliokimbia bunge [emoji3]
Mimi furaha yangu ni kuona hawa wahuni wanaisha October
Haya mapambio yenu ya kusifu tumeshayaapuza..
Mwambie jamaa atoke huko chattel aungane na Marais wenzake kujadili utatuzi wa Corona
Wanao fuatilia wana moyo wa chumaHuu uchafu ndiyo Pascal Mayalla alitaka tufuatilie?
Utatuzi wa corona wewe hujui? Yani kila siku selikali inapiga kelele wewe bado unasubiri hatua za utatuzi wa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale ndugu zako wa kule kijijini kabisa unapotoka wana tv tuanzie na hapo
Sent using Jamii Forums mobile app