Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakenya walishajenga siku nyingi. ssisi ndo tunamka. kenya toka mwaka 2012/2013Yaani wakenya miaka hii wataumia sana. Tanzania shall be California of Africa.
[emoji23][emoji23][emoji23] wamejenga tuliojenga miaka ya 60.. Yetu Ina umeme hauoni tofauti hapo..wakenya walishajenga siku nyingi. ssisi ndo tunamka. kenya toka mwaka 2012/2013
Mkuu hiyo habari yako siyo informative, hili jukwa watu tunajua mpaka aina ya kokote zilizo tumika, kiasi cha mkopo na riba itakayo lipwa achilia mbali, idadi ya wafanya kazi kutoka China waliojenga na ambao watukuwepo kwa miaka 10 ijayo, hasara ya kutumia diesel (Kenya) na faida za kutumia umeme (Tanzania). Hiyo ya Kenya imeanza kazi 31/05/2017 hii ya Tz ina tegemewa kuanza kazi June 2019. Wewe kaa mkao wa kula mid 2020 una eza uka fika Dom ndani ya masaa mawili na nusu.wakenya walishajenga siku nyingi. ssisi ndo tunamka. kenya toka mwaka 2012/2013
wakenya walishajenga siku nyingi. ssisi ndo tunamka. kenya toka mwaka 2012/2013
Aah wap...wacha kuota hii tunayojenga itawachukua miaka 40! Hiyo yao ya sasa ni sawa na TAZARA! Tena pale tuu watakapofikia 1700+km!wakenya walishajenga siku nyingi. ssisi ndo tunamka. kenya toka mwaka 2012/2013