Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Ndio hapo uonyeshe huko kupenda mpaka nichanganyikiwe kabisa nimpotezee.

Yaani natamani nije sasa hivi nikutoe, nikuambie maneno mazuri, huku tunakunya wine ktk mwanga hafifu na mezani kwetu kuna UA jekundu linanukia, huku nakuangalia ktk sura yako ulivyo mrembo.
 
Yaani natamani nije sasa hivi nikutoe, nikuambie maneno mazuri, huku tunakunya wine ktk mwanga hafifu na mezani kwetu kuna UA jekundu linanukia, huku nakuangalia ktk sura yako ulivyo mrembo.

Eeenheee
 
Unaanza kupass test taratibu.

Nikiwa na wewe wala sita Zima simu yangu au kuiacha silent! Nitakupa na password zote, utakuwa na access zote za kwangu, ila Nina wivu sana japo siwezi kuthubutu hata kukupiga kofi.
 
Nikiwa na wewe wala sita Zima simu yangu au kuiacha silent! Nitakupa na password zote, utakuwa na access zote za kwangu, ila Nina wivu sana japo siwezi kuthubutu hata kukupiga kofi.

Wow wewe ndio mzuri sasa. Inabidi sifa za ziada unipm okay bebito.
 
Ila sasa ukumbuke nimeolewa atii. mmmh sasa sijui itakuaje?

Hivyo hivyo tu, tutajua mbele ila nitakulinda, sita kupigia simu ukiwa nae kwani akikupiga nitashindwa kuvumilia honey, haya utani save vipi ktk simu yako?
 
Hivyo hivyo tu, tutajua mbele ila nitakulinda, sita kupigia simu ukiwa nae kwani akikupiga nitashindwa kuvumilia honey, haya utani save vipi ktk simu yako?

Nimeolewa humu ujue. Ana wivu mume wangu, naye ananipenda sasa nani zaidi ndio hapo.
 
Nimeolewa humu ujue. Ana wivu mume wangu, naye ananipenda sasa nani zaidi ndio hapo.

Najua ila namimi ndiyo nishakupenda hivyo, sitakuacha peke yako mpaka muda kama huu, tutakuwa kama mapacha, plz nipe nafasi nikupe mapenzi yangu.
 
Najua ila namimi ndiyo nishakupenda hivyo, sitakuacha peke yako mpaka muda kama huu, tutakuwa kama mapacha, plz nipe nafasi nikupe mapenzi yangu.

Kesho kigiza kikiingia nitakujibu. Mume wangu wiki yote hiyo inayokuja atakuwa busy sana.
 
Basi powa! Itakuwa vizuri! Ila namba yangu usiisave MCHORA. KUCHA nikigundua nitalia sana.

Powa usiku mwema. Nitasave jina zuri tu la kiume hata hilohilo lako huwa hashiki simu yangu, ananiamini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…