Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Usinifanyie hivyo mwenzio, Nina NIA njema tu kwako kwanini unilipe kwa ubaya? Nionee huruma, nitanunua kucha za rangi na vifaa vingine, nikija kwako najifanya nsafisha kucha na miguu

Ndio janja yako hii tumeshaigundua. Wenye wake humu wakuchunge utajifanya mtu wa kucha.
Mimi nampenda mume wangu sana.
 
Hahahahaa nakupendaje Honey faith jamani, umepotea ghafla.
Mtahema tu wala si mkaaji huyu mpaka next week ndio mjitayarishe hamtakunywa wala kula. Nitawaonea huruma mpumue tu.

Hata mie nakupenda my dia yani we acha tuuuu
 
Mpenzi Bantu lady,kama yalivyo macho,hayaonani,lakini moja yanafumba pamoja na ikitokea moja likaumia yote yanatoa machozi!Ndivyo na sisi tulivyo barafu wangu,hata nisipokuwepo lakini popote ninapokuwa na chochote ninachokifanya nakuwaza wewe malkia wangu,nakupenda sisimko langu la mwili Bantu lady!
 
Last edited by a moderator:
Nimesha come kuna nini hapa
sungura1980 amekuja anasema atanimwagia tindi kali nikiendelea kumfuata Bantu lady wakati Mtoto nimeshamtemea sumu ya maneno ilibaki aanze kutoa nguo moja moja mpaka ya mwisho halafu nimalize kazi! Wewe si una siri za sungura1980 huko alikokuwa na mambo aliyokuwa anafanya? Basi mwambie Bantu lady
 
Last edited by a moderator:

Oooh asante my hubby that's why I love you. Najua yote hayo nami chochote nachofanya nakuwaza wewe, wewe mwenyewe unajua ni kiasi gani nakupenda. Kiasi gani umenichizisha na penzi lako tamu.
 
Last edited by a moderator:
Oooh asante my hubby that's why I love you. Najua yote hayo nami chochote nachofanya nakuwaza wewe, wewe mwenyewe unajua ni kiasi gani nakupenda. Kiasi gani umenichizisha na penzi lako tamu.

Nionee huruma mwenzio utaniua mapema bila hata Mtoto, Duniani tunapita tu, kwanini tufanyiane hivi?
 

Hata mniambie nini sisikii wala siambiwi ndio nimeshafika kwa huyu mwanaume. Nimemkabidhi kila kitu changu, yeye ndio maisha yangu.
Kwahiyo hata kama kuna mabaya gani simwachi, penzi adimu hili nimwachie mwingine thubutu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…