sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
sungura1980 amekuja anasema atanimwagia tindi kali nikiendelea kumfuata Bantu lady wakati Mtoto nimeshamtemea sumu ya maneno ilibaki aanze kutoa nguo moja moja mpaka ya mwisho halafu nimalize kazi! Wewe si una siri za sungura1980 huko alikokuwa na mambo aliyokuwa anafanya? Basi mwambie Bantu lady
Looohh mwanaume mbeya wewe!!
Shem Valentina,huyo mwanaume mpeni khanga avae,mwanaume mmbeya!!Tena na hina mpakeni,si umbeya suna?!!!Wanaume wengine bwana kama .....ule wimbo wa Lady Jd!
Last edited by a moderator: