Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
Kumbe ulitaka niongee yapi?
Unatakiwa unitetee, najua umeolewa lakini mimi na wewe hatudhuriani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ulitaka niongee yapi?
kumbe na wewe unatongoza hapa hapa?
basi ngoja nikuachie, ila kaa kimachale
mpaka usiku tena..
kukikucha huwa sina nguvu kabisa..
mkuu si unaona hapo juu anasema alipitiwa na usingizi? nilikosa bahati hivi hivi...
hahahahh! halooooo ?(in hadja kopa's voice) we nahisi unanichanganya na yule manzi ulikutana naje jana ucku kule maeneo asa umemuota mpaka ukachafua mashuka afu ndo unakuja hapa kunichokoza miee! ebu niache hukoo!:smile-big::evil:hallo there!!
kuna mtu anaitwa charty i saw u somewhere, hebu njoo mara moja tuelezane mawili matatu hapa..
:couch2: waiting for you...
Unatakiwa unitetee, najua umeolewa lakini mimi na wewe hatudhuriani.
Hapa jamaa ananiwinda na fyekeo bahati, Mtoto mwenyewe ukimpa zawadi anaenda kumuonyesha mume wake.
hahahahh! halooooo ?(in hadja kopa's voice) we nahisi unanichanganya na yule manzi ulikutana naje jana ucku kule maeneo asa umemuota mpaka ukachafua mashuka afu ndo unakuja hapa kunichokoza miee! ebu niache hukoo!:smile-big::evil:
Nahata maneno yote unayonambiaga nayarekod ujue