sungura1980 amekuja anasema atanimwagia tindi kali nikiendelea kumfuata Bantu lady wakati Mtoto nimeshamtemea sumu ya maneno ilibaki aanze kutoa nguo moja moja mpaka ya mwisho halafu nimalize kazi! Wewe si una siri za sungura1980 huko alikokuwa na mambo aliyokuwa anafanya? Basi mwambie Bantu lady
Pole ya nini?ulikuwa unamfatilia mke wa mtu?baki njia kuu michepuko sio dili
Looohh mwanaume mbeya wewe!!
Yote hayo umesababisha wewe! Nikikuita unakimbia.
Tatzo hawa watoto wanadanganywa na pipi tu nao wanabweteka huyo sungura nimemuona pale kwenye grocery ya mangi na mwanamkesungura1980 amekuja anasema atanimwagia tindi kali nikiendelea kumfuata Bantu lady wakati Mtoto nimeshamtemea sumu ya maneno ilibaki aanze kutoa nguo moja moja mpaka ya mwisho halafu nimalize kazi! Wewe si una siri za sungura1980 huko alikokuwa na mambo aliyokuwa anafanya? Basi mwambie Bantu lady
Bantu lady amechukua moyo wangu anampa paka mwenye njaa! Nimeumia sana, plz Honey Faith naomba uhifadhi moyo wangu, nimechoka kutongoza tongoza, natamani niwe kama wenzangu.Usinisingizie mie mtoto wa watu
Tatzo hawa watoto wanadanganywa na pipi tu nao wanabweteka huyo sungura nimemuona pale kwenye grocery ya mangi na mwanamke
Tatzo hawa watoto wanadanganywa na pipi tu nao wanabweteka huyo sungura nimemuona pale kwenye grocery ya mangi na mwanamke
Eeh! Alikuwa na bar maid au mwanamke wa ushwahilini?
Siyo kweli, moyo wangu unauma sana, nipe pole basi.
Hata nimfumanie kitandani simuachi ng'o. Nimeshafika kwake, yaani nahisi ni chizi kabisa wa penzi lake. Hizo fitina tu, ungejua mume wangu navyomuamini ninakaa na simu zake zote sijawahi ona hata mwanamke kubeep.
Hata hapa nina password yake sasa kwanini nisijiamini. Kwanza mume wangu hanywi.
Kumbe ndo maana. afu nani alikudanya nanilii nyekundu ikitoka kwenye naniliu ya kujojoa ni ugonjwa??
Bantu lady I'll always love you with all my heart.
Nipo sweet unaendeleaje?!.
Jaman me ndo kwaanza nafika hapa leo, naona km hap mungu kani--direct maana niko single muda mrefu sanaaa ...maisha ya upwekee magumu sana,,, mdada yeyote aliye single plss njoo tunong'onezane
Bantu lady amechukua moyo wangu anampa paka mwenye njaa! Nimeumia sana, plz Honey Faith naomba uhifadhi moyo wangu, nimechoka kutongoza tongoza, natamani niwe kama wenzangu.
Rich Pol sasa unavuka mipaka!Nakushauri uaindae usia mapema kabisa!Kama uamini kamuulize Mushi!Bantu lady I'll always love you with all my heart.
Heee babu siku hizi una maneno duh