sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
sungura1980 amekuja anasema atanimwagia tindi kali nikiendelea kumfuata Bantu lady wakati Mtoto nimeshamtemea sumu ya maneno ilibaki aanze kutoa nguo moja moja mpaka ya mwisho halafu nimalize kazi! Wewe si una siri za sungura1980 huko alikokuwa na mambo aliyokuwa anafanya? Basi mwambie Bantu lady
Looohh mwanaume mbeya wewe!!
Na umri huu siwezi kuwa na matendo kama zamani mwanangu. Yamebaki maneno tu.
unahangaika sana eti
Mi nishachoka na wewe unaonekana ni bazazi mkubwa wa kutembea na wake za watu sikutafutii tena
unahangaika sana eti
Hahahaaa tunamvutia kasi shem,siku yake yaja
Namjulia hali shemeji yangu, au umeshampiga chini?
Hello darling!
Lol! Kumbe nikiwa sipo ndiyo unaongea maneno haya kwangu?
hallo my babylove.. my day was good today.
I miss you sana hny
nimpige chini halafu nikaishi dunia ipi?