Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

safi sana mkuu fanya neema kwa wengine
mi namtafuta charty..nahisi huyu atakuwa anategemea computer za internet cafe.
ngoja nifanye mpango apate laptop yake mwenyewe
ili kila nitakapomwitaji hapa awepo..

aah!! mkuu yule mtoto wa kariakoo? mbona ungenipointia tu nakuletea!

una shida gani nae kwani?
 
aah!! mkuu yule mtoto wa kariakoo? mbona ungenipointia tu nakuletea!

una shida gani nae kwani?

ahaa kumbe mnajuana? safi sana
nikisema hapa ninachotaka kumfanyia ataona aibu,
 
unataka kuninyongea? hapana nipe nafasi nionyeshe maufundi yangu.

hahahahaaa!! usijali! mi mbona sina shida.. sasa mkeo akishtuka si ndo itakuwa mbinde?

ndo maana nikajitoa muhanga ili upate kilaiiini! ila malipo kidoogo lazima yawepo!
 
hahahahaaa!! usijali! mi mbona sina shida.. sasa mkeo akishtuka si ndo itakuwa mbinde?

ndo maana nikajitoa muhanga ili upate kilaiiini! ila malipo kidoogo lazima yawepo!

ha ha ha ha ....
 
safi sana mkuu fanya neema kwa wengine
mi namtafuta charty..nahisi huyu atakuwa anategemea computer za internet cafe.
ngoja nifanye mpango apate laptop yake mwenyewe
ili kila nitakapomwitaji hapa awepo..
dah kweli akutukanaye akuchagulii tusi fanya mpango kabsa ili nipate tablet ili niwe natembea naye muda wote kiwatengu!
 
ni kweli mkuu ila jana na leo niko tofauti kidogo,
umemwona wapi charty? namtafuta sana eti

afu wee kibabu tulia na huyo mkeo DEMBA! usiniletee miye shida nan anataka akatwe viwembe usawa huu!!! mwanamke sura makalio hata baba mkwe anayo!heheee:smile-big:
 
afu wee kibabu tulia na huyo mkeo DEMBA! usiniletee miye shida nan anataka akatwe viwembe usawa huu!!! mwanamke sura makalio hata baba mkwe anayo!heheee:smile-big:

ha ha ha..punguza mwendo kwanza!
ukitulia utaelewa kila kitu. DEMBA ni shemeji yangu.
mke wangu mimi ni shansarie nampenda sana.

ila wewe mi nataka nifanye yangu juu yako kwanza
 
Last edited by a moderator:
dah kweli akutukanaye akuchagulii tusi fanya mpango kabsa ili nipate tablet ili niwe natembea naye muda wote kiwatengu!

usijali mtoto wa kike.
jioni hebu tukutane hapa hali ikiwa imetulia..
 
Back
Top Bottom