Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

ha ha ha..punguza mwendo kwanza!
ukitulia utaelewa kila kitu. DEMBA ni shemeji yangu.
mke wangu mimi ni shansarie nampenda sana.

ila wewe mi nataka nifanye yangu juu yako kwanza

akhaa kuwa na mtu kama ww,ni sawa na kua na ATM ya nmb foleni za misururu ya wanawake kawaida! mie bado mdogo stakii stress za kupangwa hahaa! Roger that!
 
akhaa kuwa na mtu kama ww,ni sawa na kua na ATM ya nmb foleni za misururu ya wanawake kawaida! mie bado mdogo stakii stress za kupangwa hahaa! Roger that!

kwani wasiwasi wako nini? hakuna foleni wala nini tena kwa taarifa yako, i'm the only man who is straight foward in this house,
so hebu ikifika jioni usogee karibu zaidi yangu uone utamu.

sasa unataka tablet au laptop?
 
Hivi nani anayetaka kumtafutia mke Rich pol? Huyo na Daudi1 ni misukule yetu mimi na Valentina. Tunawarudisha kwenye chupa hatuwatoi.
Excel na kiwatengu hamuoni kwanini siku zote hizi hawapati?
Hatoki mtu hapa.
 
Hivi nani anayetaka kumtafutia mke Rich pol? Huyo na Daudi1 ni misukule yetu mimi na Valentina. Tunawarudisha kwenye chupa hatuwatoi.
Excel na kiwatengu hamuoni kwanini siku zote hizi hawapati?
Hatoki mtu hapa.

ohhh jamani jamani watoeni na wenyewe wafurahie maisha ya mapenzi..
 
Mamii mbele ya excel, hakuna kizizi kitachosimama!

Rich Pol ni mume wa princess enny, tunangoja uthibitisho tu kutoka kwa mwenyekiti Baba V, Lady doctor (happy birthday again mama mkwe!) na mukulu kiwatengu....!

Daudi1 akitaka mke, anione mimi dalali! Life is better with excel!


Hivi nani anayetaka kumtafutia mke Rich pol? Huyo na Daudi1 ni misukule yetu mimi na Valentina. Tunawarudisha kwenye chupa hatuwatoi.
Excel na kiwatengu hamuoni kwanini siku zote hizi hawapati?
Hatoki mtu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Unataka utoe verse gani we kijana? Umewapa verse wangapi wakazichana? Eeenh?

Unachotakiwa ni kuoa tu!

Mkeo utampea verse kitandani huko huko!

Cc.. princess enny!

Mkuu mbona sikuelewi? Mimi nipo namsubiria huyo mtalajiwa nimpe verse nifunge nae ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Excel kaka yangu undugu utaisha unajua. Sisi tunajua kazi yao humu ndani.
Valentina my luv majenereta yanaondoka, kuna mpambe nuksi kaingilia kati huku inabidi tudili naye.
 
kwani wasiwasi wako nini? hakuna foleni wala nini tena kwa taarifa yako, i'm the only man who is straight foward in this house,
so hebu ikifika jioni usogee karibu zaidi yangu uone utamu.

sasa unataka tablet au laptop?
nimekuja laptop nnayo nataka tablet!haha
 
Hivi nani anayetaka kumtafutia mke Rich pol? Huyo na Daudi1 ni misukule yetu mimi na Valentina. Tunawarudisha kwenye chupa hatuwatoi.
Excel na kiwatengu hamuoni kwanini siku zote hizi hawapati?
Hatoki mtu hapa.
Dah! mimi nishapata sijui huyo msukule wako,valentina anatamani kutoka kwenye ndoa yake kwa mapenzi niliyompa siku moja kachanganyikiwa yaani hajielewi mara ananitaka mimi mara uran
 
Dah! mimi nishapata sijui huyo msukule wako,valentina anatamani kutoka kwenye ndoa yake kwa mapenzi niliyompa siku moja kachanganyikiwa yaani hajielewi mara ananitaka mimi mara uran

Mtarudi tu sisi ni mtakuja. wewe na huyo niliyemuweka kwenye chupa siifungui muda huu.
 
Back
Top Bottom