Naona kiwivu kinavyokuumiza ila unajikaza tu unashindwa kusema muache ndoa atangaze ndoa wala ubwabwa tumejiandaa vya kutosha kwani wewe unataka uone ili iwejeWewe naye unajishaua hivyo hata huyo mke jina hulijui. Wala hakujui na hajaambiwa bado, kesho utaoa hewa.
Heheheee kwani kesho mbali tuone hiyo ndoa. Mi nakuombea uoe msukule wangu, sababu muda wowote utakuwa kwangu.
Dawa yake ni kuoa tu,kwanini unaumia kwan kakuwekea nini huyoHalafu unapenda kuninyanyasa sawa tu sina jinsi.
Dawa yake ni kuoa tu,kwanini unaumia kwan kakuwekea nini huyo
Kakufanya nini?Nitaoa mkuu ila Bantu lady anajua alichonifanyia ndiyo maana anajiamini sana.
Sijaisikia hiyo kabisa
Mi nilidhani ni wewe binti wa kibantu.....lol!!!!!
Naona kiwivu kinavyokuumiza ila unajikaza tu unashindwa kusema muache ndoa atangaze ndoa wala ubwabwa tumejiandaa vya kutosha kwani wewe unataka uone ili iweje
Nitaoa mkuu ila Bantu lady anajua alichonifanyia ndiyo maana anajiamini sana.
Yes darling!
Mwambie anajua sifa za misukule? basi ndio jibu hilo, nikikuhitaji hata usiku wa manane lazima uje tu.
Kakufanya nini?
Mwambie anajua sifa za misukule? basi ndio jibu hilo, nikikuhitaji hata usiku wa manane lazima uje tu.
Basi itabidi nifanye fitna Sungura1980 ahamishiwe mbali sana hata network hakuna
Umpeleke wapi? atarudi siku si nyingi mpambane.
Hapana si mimi, nilishajaribu utawa ukanishinda sasa umama mchungaji sitauweza kabisa.
Kuna mrembo mmoja anaitwa rosita ndio huyo amefunguka kuwa anakupenda sana.
Hahaha bibiee shansarie ww kunguru lako halifugiki litakuja hata PM ungemuacha nimchune mpaka mpaka asahau kukupa. Hela ya mafuta!!si alikua anajishaua kuninunulia tablet akat ww so called yf unatumia siemes ya kidolee juu! Cjui huh!
Bibie unajua ninavyokuhusudu?