Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Wewe naye unajishaua hivyo hata huyo mke jina hulijui. Wala hakujui na hajaambiwa bado, kesho utaoa hewa.
Heheheee kwani kesho mbali tuone hiyo ndoa. Mi nakuombea uoe msukule wangu, sababu muda wowote utakuwa kwangu.
Naona kiwivu kinavyokuumiza ila unajikaza tu unashindwa kusema muache ndoa atangaze ndoa wala ubwabwa tumejiandaa vya kutosha kwani wewe unataka uone ili iweje
 
Sijaisikia hiyo kabisa
Mi nilidhani ni wewe binti wa kibantu.....lol!!!!!

Hapana si mimi, nilishajaribu utawa ukanishinda sasa umama mchungaji sitauweza kabisa.
Kuna mrembo mmoja anaitwa rosita ndio huyo amefunguka kuwa anakupenda sana.
 
Naona kiwivu kinavyokuumiza ila unajikaza tu unashindwa kusema muache ndoa atangaze ndoa wala ubwabwa tumejiandaa vya kutosha kwani wewe unataka uone ili iweje

Wala sina wivu best. Kinyago nimekichonga mwenyewe kitanitishaje sasa?
 
Hapana si mimi, nilishajaribu utawa ukanishinda sasa umama mchungaji sitauweza kabisa.
Kuna mrembo mmoja anaitwa rosita ndio huyo amefunguka kuwa anakupenda sana.

Kwanini wewe huwezi?

Hebu jaribu uone kama hutaweza!
 
Hahaha bibiee shansarie ww kunguru lako halifugiki litakuja hata PM ungemuacha nimchune mpaka mpaka asahau kukupa. Hela ya mafuta!!si alikua anajishaua kuninunulia tablet akat ww so called yf unatumia siemes ya kidolee juu! Cjui huh!

Tatizo hachuniki funguo nnazo mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…