Kwanini wewe huwezi?
Hebu jaribu uone kama hutaweza!
Etiii baba paroko unajifunza ubazazi au uko kwenye team bazazi? nauliza tu lakini. Halafu nitakuja kutubu nina vidhambi nimefanya siyo mbaya sana ila.
Mimi siwezi mpaka nipate jibu hapo
...................
Vp tena kimyakimya. Ndio hivyo huyo hata akioa nikisema njoo hata akiwa juu ya lazima aje faster.
Sikukwambia hawezi oa huyo?
Usifanye hivyo naomba nioe basi nami nitulie.
Basi tuzae Mtoto.
Ningekuwa naye ungemuona kwenye list hapo juu.
heeeeee ni ww au???
Sijasikia vizuri ujue
Hahahahaaaa amekuchanganyia na K lol!Nilienda kwake nikala chakula! Tangu siku hiyo chochote atakachosema nashindwa kumkatalia.
i love u. kila mtu ajue hapa kuwa ur my one and only....
Hahahahaaaa amekuchanganyia na K lol!
Huyu msukule wangu anajifunza ubazazi. Nilikuwa na mpango wa kukukaribisha kwangu mume wangu kasafiri ila sasa utanisikia bombani.
Hahahahaaaa amekuchanganyia na K lol!
Naomba kupanda mgomba kwenye shamba la jirani.
Pole sasa mkuu mimi yule sheri alikuwa hana mafuta ya dizel hivyo akashindwa kunitumia et yeye mafuta ya taa halafu anajidai eti mimi jenereta lake wapi na wapi mafuta ya taa yakaoperate jenereta,kwani hapa mjengoni hakuna kuomba muongozo?Sasa nitajinasuaje mkuu?!.
Utakuwa umemchanganyia k kwenye chakula wewe siyo bureHakuchanganyiwa chochote mimi ni mkristo safi sana ujue.
Yeye tu alivyoniona toka siku hiyo anaweweseka, hiko chakula alichokula cku hiyo sikupika mimi sasa nimwekee nini?