Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Kwanini wewe huwezi?

Hebu jaribu uone kama hutaweza!

Etiii baba paroko unajifunza ubazazi au uko kwenye team bazazi? nauliza tu lakini. Halafu nitakuja kutubu nina vidhambi nimefanya siyo mbaya sana ila.
Mimi siwezi mpaka nipate jibu hapo
 
Etiii baba paroko unajifunza ubazazi au uko kwenye team bazazi? nauliza tu lakini. Halafu nitakuja kutubu nina vidhambi nimefanya siyo mbaya sana ila.
Mimi siwezi mpaka nipate jibu hapo

Siwezi kuwa miongoni mwa mabazazi achiia mbali kujifunza

Hebu nijibu basi!!
 
Huyu msukule wangu anajifunza ubazazi. Nilikuwa na mpango wa kukukaribisha kwangu mume wangu kasafiri ila sasa utanisikia bombani.
 
Hahahahaaaa amekuchanganyia na K lol!

Hakuchanganyiwa chochote mimi ni mkristo safi sana ujue.
Yeye tu alivyoniona toka siku hiyo anaweweseka, hiko chakula alichokula cku hiyo sikupika mimi sasa nimwekee nini?
 
Sasa nitajinasuaje mkuu?!.
Pole sasa mkuu mimi yule sheri alikuwa hana mafuta ya dizel hivyo akashindwa kunitumia et yeye mafuta ya taa halafu anajidai eti mimi jenereta lake wapi na wapi mafuta ya taa yakaoperate jenereta,kwani hapa mjengoni hakuna kuomba muongozo?
 
Hakuchanganyiwa chochote mimi ni mkristo safi sana ujue.
Yeye tu alivyoniona toka siku hiyo anaweweseka, hiko chakula alichokula cku hiyo sikupika mimi sasa nimwekee nini?
Utakuwa umemchanganyia k kwenye chakula wewe siyo bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…