Hahahhaha kama ni huo mti wangu ushakomaa kwa kiwatengu kurudia uyoga tena ni ndoto
Aku mie sitaki
That's not true!
Siuzungumzii huo na hata wewe unajua hilo!!
Afu acha mambo hayo wengine tuna roho za huruma naogopa nisijekubali bure
It is very true kwani maparoko wanaruhusiwa utafukuzwa convet wewe sijui utAlala wapi
Kila binadamu ana huruma hata mimi ninahuruma na ninataka tuhurumiane
Kwani kuna tatizo hapo?
Step away from that bazazi lady ..................!!!!!!!!!!!!!!!!!
This is for your own safety lady!!!!!!
Nimeridhika nilipo jamani
yes i do! Kiwatengu jaman kuja hapa mie mtoto mlain mpaka ngoz ya kisigino! Nimekuja nataka nkupe upako wa jumapili plz!... Am so sory shansarie! I want ua hubby kiwatengu, maana kila siku nimekua nkimuota hahah yeye pamoja na Excel, am sure ninawaweza woote wawili,,yes yes wonders shall never end! Plz naomba mje kusikiliza hoja yangu walengwa hapo juu!#okbye?
Kwani nimekuambia uondoke?
Heee huo ndo ukauzu sasa mwanaume mbishiii ueelewi khaaaa
Hapana
Sio kweli sielewi bali wote tunaelewana
Tatizo ni uoga tu
Unaogopa kukubaliana na moyo wako
Kwanini lakini mrembo?
Athanteeee!!.
Mimi sifahamu kifaransa, unaweza kunitafsiria hapo?Sasa si utongeze?
Mimi sifahamu kifaransa, unaweza kunitafsiria hapo?