Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Naomba wewe na 'Valentina' wawasajili kwenye chama cha mababazazi wa kike siyo bure
Hahaaaaaa,wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba wewe na 'Valentina' wawasajili kwenye chama cha mababazazi wa kike siyo bure
Hasa Valentina nadhani apatiwe kiti cha Uspika.
Kumbe na wewe umemuona
Mkuu huyu dada anahitaji maombi ya kufunga na kuomba.
Mrembo unajua nimeanza kufunga nakuomba ninakuombea upunguze idadi ubakie na mmoja.Yamekua hayo tena!!
Hongera sana kama umeacha,mshauri na mwenzio atulie basiDaudi1 mimi nimetoka kabisa huko. Now ni mtu mwema sifanyi hayo tena, mume wangu hataki nifanye hivyo kwahiyo nimetulia hasa. Sitaki kumuudhi mume wangu nisijeachika bure.
CC: Daudi1
Ndiyo unahitaji maombiYamekua hayo tena!!
Kunifanyia nini?Hata wewe wakunfanyia hivo!!
Unashituka nin? hutak cheo?Tooooba!!!
Maana naona kila ambaye anahitaji mtu wewe unakuwa wa kwanza kutaka kumstiriHahaaaaaa,wewe!!
Mpenzi wangu... Roho yangu!
Mama watoto wangu.... queen miss neddy... Kokote kule uliko..
Tambua kuwa nakupenda saaana mtima wangu...!
Naongea nikiwa katika critical condition... Please trust me, anything that is going on btn me and you which is negative...
Take it as an externality.. Wapendanao kwa dhati lazima waangaliwe kwa jicho mkunjo!
Nakupenda sana miss neddy... Tafadhali nivumilie mpenzi wangu, niko safarini... Ipo siku nitarejea...
Mwambie Ntuzu, mwallu na wengineo, nawakumbuka sana,
muda si mrefu tutafunga ndoa, tuwe pamoja forever and for always...
No dove will exist than you....!
nimekuja with all of me....so much in love with my Eiyer.....pls dont touch the fire over me cause am BURNING
miss you so much my number one..
please dont anything negative going on here.. i wasnt here for so long, nimejitahidi japo kukutakia hellow mpenzi wangu..
naamini kama wanadamu wakikataa kuunganisha penzi letu, basi tutatoa sadaka ya kondoo na kujioza wenyewe..
long live malikia wangu..