Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Daudi1 mimi nimetoka kabisa huko. Now ni mtu mwema sifanyi hayo tena, mume wangu hataki nifanye hivyo kwahiyo nimetulia hasa. Sitaki kumuudhi mume wangu nisijeachika bure.
CC: Daudi1
Hongera sana kama umeacha,mshauri na mwenzio atulie basi
 
Mpenzi wangu... Roho yangu!

Mama watoto wangu.... queen miss neddy... Kokote kule uliko..

Tambua kuwa nakupenda saaana mtima wangu...!

Naongea nikiwa katika critical condition... Please trust me, anything that is going on btn me and you which is negative...


Take it as an externality.. Wapendanao kwa dhati lazima waangaliwe kwa jicho mkunjo!

Nakupenda sana miss neddy... Tafadhali nivumilie mpenzi wangu, niko safarini... Ipo siku nitarejea...

Mwambie Ntuzu, mwallu na wengineo, nawakumbuka sana,

muda si mrefu tutafunga ndoa, tuwe pamoja forever and for always...

No dove will exist than you....!
 
Last edited by a moderator:
Mpenzi wangu... Roho yangu!

Mama watoto wangu.... queen miss neddy... Kokote kule uliko..

Tambua kuwa nakupenda saaana mtima wangu...!

Naongea nikiwa katika critical condition... Please trust me, anything that is going on btn me and you which is negative...


Take it as an externality.. Wapendanao kwa dhati lazima waangaliwe kwa jicho mkunjo!

Nakupenda sana miss neddy... Tafadhali nivumilie mpenzi wangu, niko safarini... Ipo siku nitarejea...

Mwambie Ntuzu, mwallu na wengineo, nawakumbuka sana,

muda si mrefu tutafunga ndoa, tuwe pamoja forever and for always...

No dove will exist than you....!

waoooooooooo thank you king Excel mungu akulinde huko safarini urejeee tuje tule kiapo ingawa paroko Eiyer amekataaa kutuunganisha
nimemiss cheche zako soooooo much
pokea busu mwanana la kihabeshi
mwaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
waoooooooooo thank you king Excel mungu akulinde huko safarini urejeee tuje tule kiapo ingawa paroko Eiyer amekataaa kutuunganisha
nimemiss cheche zako soooooo much
pokea busu mwanana la kihabeshi
mwaaaaaaaaaaaaaaaa

miss you so much my number one..

please dont anything negative going on here.. i wasnt here for so long, nimejitahidi japo kukutakia hellow mpenzi wangu..

naamini kama wanadamu wakikataa kuunganisha penzi letu, basi tutatoa sadaka ya kondoo na kujioza wenyewe..

long live malikia wangu..
 
miss you so much my number one..

please dont anything negative going on here.. i wasnt here for so long, nimejitahidi japo kukutakia hellow mpenzi wangu..

naamini kama wanadamu wakikataa kuunganisha penzi letu, basi tutatoa sadaka ya kondoo na kujioza wenyewe..

long live malikia wangu..

i smile with all my teeth
thanks much KING Excel usijali nakupenda pia my world
hapo pa kujioza wenyewe mhhhhhhh tutakosa baraka za parokiani bwana tuvute subira
 
Last edited by a moderator:
i smile with all my teeth
thanks much KING Excel usijali nakupenda pia my world
hapo pa kujioza wenyewe mhhhhhhh tutakosa baraka za parokiani bwana tuvute subira

ahsante sana mpenzi kwa ushauri.. napenda sana kukusikiliza kwa sababu nakuamini... sawa ntasubiri baraka zao..

ila swali, kwani ni lazima tufungie ndoa parokiani?
 
Back
Top Bottom