Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

ahsante sana mpenzi kwa ushauri.. napenda sana kukusikiliza kwa sababu nakuamini... sawa ntasubiri baraka zao..

ila swali, kwani ni lazima tufungie ndoa parokiani?

parokiani ndo tutapata baraka za masiha lakini kwingineko na shetani anakuwaga around
 
parokiani ndo tutapata baraka za masiha lakini kwingineko na shetani anakuwaga around
ahsante mamii... they way i love you... take that please.. you are my queen! 18265.jpg
well said

thanks sister.. naunga mkono hoja... sasa naomba uanze kazi ya kumshawishi Kaizer afungishe ndoa rasmi..
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanaonizimikia humu wote huu ndo uwanja wenu wa kutoa kilicho mioyoni mwenu,nakaribisha kutongozwa kuanzia sasa.
Vigezo: 18+.Uwe unamiliki mkoko wa maana eg Vogue,Prado,Hummer,etc.Uwe na nyumba nzuri(Ghorofa is added advantage).Account yako isiwe na chini ya milioni 300.Uwe na mzigo(makalio) makubwa kama ya Snura au zaidi.Uwe tayari kunipa papuchi kila napojisikia.

Wahi sasa nafasi ni chache....!!!!!

#Vigezo na masharti kuzingatiwa#

Hahaaaaa utasubiri.mpaka dushelele ipotee..ubaki flat screen.
 
searching for....................................................
 
Back
Top Bottom