Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

We acha tu ni mungu ndo anajua nnavyojisikia. Try to take it easy
ok mam i understand u! Ila wewe mvumilivu ingekua aina ya simu ungekua nokia ya toch! Maana inadondoshwa,inabadilishwa line hi mda huo huo yawekwa ingne!bt wewe upo palepale! wsh culd ve such heart! In Excel's voic hahah
 
ok mam i understand u! Ila wewe mvumilivu ingekua aina ya simu ungekua nokia ya toch! Maana inadondoshwa,inabadilishwa line hi mda huo huo yawekwa ingne!bt wewe upo palepale! wsh culd ve such heart! In Excel's voic hahah

Hahaha we acha tu kipendacho roho.....
 
Mtoto mzuri kama wewe unatakiwa uwe katika mikono salama, nakuahidi kwangu hutajuta, jisikie mwenye bahati bibie achana na kelele sogea nikupe raha maisha menyewe mafupi

haki ya yesu we kijana
namtaka mwenye pistola,we unayo?!!
 
ok mam i understand u! Ila wewe mvumilivu ingekua aina ya simu ungekua nokia ya toch! Maana inadondoshwa,inabadilishwa line hi mda huo huo yawekwa ingne!bt wewe upo palepale! wsh culd ve such heart! In Excel's voic hahah

hahahahahahaaaaaaa!!!!!!! aisee!!! nimecheka kifalme! kumbe kuna watu wananisema huku?

karibu kwenye party charty! nimekuita umegoma kabisa!
 
kiwatengu kokote kule uliko.. tafadhali nitoe kwenye list ya watu walio single kwenye huu uzi aisee!!

nimempata malikia tayari... mamii wa moyo wangu, the one and only, the queen i cant hide tears when i see her sad, the woman who is soooo beautiful...!! nk nk!!
 
Last edited by a moderator:

ahaa si sababu hiyo
 

ilishwa rekebishwa ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
sijakuona kwenye party wakati nimekuita..! sielewi kabisa jamani, we na charty mna bifu na mimi ama vipi?
nah bifuu meeen! Ahsante kwa mwaliko ila jaman Excel kuwad wangu plz naomba unitaftie mwanaume mwngne hch kibabu,i mean kiwatengu atakuja nifia siku moja kifuan, frm today onwards nimemwachia mkewe shansarie aendlee naye! Maana mwanamke mvumilivu huyu!khaa
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninayo! Ila ujanja wa kukudhuru sina! Ila nitakae kukuta nae ndiyo atajuta kwanini alithubutu. Sogea basi tuongee.
ok!! Rich Pol boo booo
mi naomba uninunulie gari pia
unifungulie biashara ya maana!!love u mmwaaah!!
 
Last edited by a moderator:
ok!! Rich Pol boo booo
mi naomba uninunulie gari pia
unifungulie biashara ya maana!!love u mmwaaah!!

Vitu vya kawaida hivyo! Ila mbona unaharaka sana? Ulitakiwa uniambie hivyo ukiwa na khanga moja umetoka kuoga, kisha unaniomba huku unarembua macho! Usijari njoo basi home umaanishe unachokisema, love u more.
 
Last edited by a moderator:
sijakuona kwenye party wakati nimekuita..! sielewi kabisa jamani, we na charty mna bifu na mimi ama vipi?

mbona niliwahi mapema tu?
tena na wali nilipewa kabisa, na miwaini kibaooo

charty alisahau nguo yake ya ndani kwangu.
sasa nimemwambia aje aichukue hataki
 
Last edited by a moderator:

ha ha ha ha..we mdada kumbe ndiyo hivi?
 
ahsante sana ndugu yangu.. nimeona zawadi yako bana! nakutakia charty njema!

mi nimebanwa na malikia huku mpaka basi!

poa poa, naona wife wangu hapa leo hanyanyuki.
na huyu ndiyo anadipu dipu kila saaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…