Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

ok mam i understand u! Ila wewe mvumilivu ingekua aina ya simu ungekua nokia ya toch! Maana inadondoshwa,inabadilishwa line hi mda huo huo yawekwa ingne!bt wewe upo palepale! wsh culd ve such heart! In Excel's voic hahah

Hahaha we acha tu kipendacho roho.....
 
Mtoto mzuri kama wewe unatakiwa uwe katika mikono salama, nakuahidi kwangu hutajuta, jisikie mwenye bahati bibie achana na kelele sogea nikupe raha maisha menyewe mafupi

haki ya yesu we kijana
namtaka mwenye pistola,we unayo?!!
 
ok mam i understand u! Ila wewe mvumilivu ingekua aina ya simu ungekua nokia ya toch! Maana inadondoshwa,inabadilishwa line hi mda huo huo yawekwa ingne!bt wewe upo palepale! wsh culd ve such heart! In Excel's voic hahah

hahahahahahaaaaaaa!!!!!!! aisee!!! nimecheka kifalme! kumbe kuna watu wananisema huku?

karibu kwenye party charty! nimekuita umegoma kabisa!
 
kiwatengu kokote kule uliko.. tafadhali nitoe kwenye list ya watu walio single kwenye huu uzi aisee!!

nimempata malikia tayari... mamii wa moyo wangu, the one and only, the queen i cant hide tears when i see her sad, the woman who is soooo beautiful...!! nk nk!!
 
Last edited by a moderator:
Makuku Rey nakupenda pia tatizo unaishi kwa wazazi hapo ndio kuna pingamizi kubwa.

kiwatengu nakupenda ila sikuamini najua nikikusaliti hutakuwa na msamaha kama mandelahata urithi nisipate mmmmhhh nakuogopa.

fmbenson jiran yangu ila ana ma beibe wengi.

Mokoyo amenisusa ila nampenda sana

kuna mtani wangu mkubwa sana sijui kapotelea wapi Mentor popote ulipo njoo tusemezane

ahaa si sababu hiyo
 
kiwatengu kokote kule uliko.. tafadhali nitoe kwenye list ya watu walio single kwenye huu uzi aisee!!

nimempata malikia tayari... mamii wa moyo wangu, the one and only, the queen i cant hide tears when i see her sad, the woman who is soooo beautiful...!! nk nk!!

ilishwa rekebishwa ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
sijakuona kwenye party wakati nimekuita..! sielewi kabisa jamani, we na charty mna bifu na mimi ama vipi?
nah bifuu meeen! Ahsante kwa mwaliko ila jaman Excel kuwad wangu plz naomba unitaftie mwanaume mwngne hch kibabu,i mean kiwatengu atakuja nifia siku moja kifuan, frm today onwards nimemwachia mkewe shansarie aendlee naye! Maana mwanamke mvumilivu huyu!khaa
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninayo! Ila ujanja wa kukudhuru sina! Ila nitakae kukuta nae ndiyo atajuta kwanini alithubutu. Sogea basi tuongee.
ok!! Rich Pol boo booo
mi naomba uninunulie gari pia
unifungulie biashara ya maana!!love u mmwaaah!!
 
Last edited by a moderator:
ok!! Rich Pol boo booo
mi naomba uninunulie gari pia
unifungulie biashara ya maana!!love u mmwaaah!!

Vitu vya kawaida hivyo! Ila mbona unaharaka sana? Ulitakiwa uniambie hivyo ukiwa na khanga moja umetoka kuoga, kisha unaniomba huku unarembua macho! Usijari njoo basi home umaanishe unachokisema, love u more.
 
Last edited by a moderator:
sijakuona kwenye party wakati nimekuita..! sielewi kabisa jamani, we na charty mna bifu na mimi ama vipi?

mbona niliwahi mapema tu?
tena na wali nilipewa kabisa, na miwaini kibaooo

charty alisahau nguo yake ya ndani kwangu.
sasa nimemwambia aje aichukue hataki
 
Last edited by a moderator:
nah bifuu meeen! Ahsante kwa mwaliko ila jaman Excel kuwad wangu plz naomba unitaftie mwanaume mwngne hch kibabu,i mean kiwatengu atakuja nifia siku moja kifuan, frm today onwards nimemwachia mkewe shansarie aendlee naye! Maana mwanamke mvumilivu huyu!khaa

ha ha ha ha..we mdada kumbe ndiyo hivi?
 
Back
Top Bottom