Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
dah umeeetiiiisha!! na wa huku mjini nw wanaekwa pending!?
mjini ninao kama wanne, kila mmoja nimemfanyia family planning ya watoto wanne wanne! safi kabisa!
kama arushaone kaanza kukusanya wanawe, kwaniini mimi nitupe wangu? ujana nauendeleza vyema kabisa!
rich pol kale kamwanaume cha jana usiku ullikatoa apii? au ID yako ya piliii jamani
Mkuu uran za siku mambo vipi? Mbona hatukaribishani kwako?.
Hapana kalinivamia tu kakawa kanasikiriza tunachoongea! Ila nikagundua ni rasta halafu hana hela, siyo yule niliekuwa nakupa sifa zake Jana.
dah bora hata cjakuepo kwenye least maana jaman nilivyo na wivu ningewamaliza wake wenza i hate mitara!!mjini ninao kama wanne, kila mmoja nimemfanyia family planning ya watoto wanne wanne! safi kabisa!
kama arushaone kaanza kukusanya wanawe, kwaniini mimi nitupe wangu? ujana nauendeleza vyema kabisa!
ndio mie nilimshtukia nkajua tu pangu pakavu tia mchuzi!!maana alikuja na zile swaga za kina mariooo!khaaa nikabidi nilale mie asije nifanya nkaota ndoto za ajabu!next tym uwe unaangaliaga bana na watu wakunisakisia la sivyo wataendelea kula cha mbavuuu!hahahah
uzinzi nje nje..
my 'Valentina' ukizinziwa hivi nitakufa
Halafu hawezi kutongoza akawa anatafuta sababu, eti huwezi mapenzi ya ki babiloony sijui ndiyo mapenzi gani?
Ondoa shaka beibe,nimebaki njia kuu mimi ni wako peke yako siwezi mpa mwingine utamu wako....
dah bora hata cjakuepo kwenye least maana jaman nilivyo na wivu ningewamaliza wake wenza i hate mitara!!
nani akupe mamlaka hayo?... kuzaa unazaa na ngumi hurushi qudadeki!
hahaha si yale mapenzi ya msoto ya shida na raha ambayo joh makini kwenye nje ya box,, hamtaki dizaini ya huyo mwanamke wa misoto! alafu alikua ana mpango wa kunivutisha weed! dah noumer sana!
nimekumiss tu besti.. .. habari za siku nyingi?
itavunjika tu
Nipo naangaika na dunia sijui kwann tulipewa matumbo maana ndo yanatusotesha mjini
Mmmmh!
Nipo naangaika na dunia sijui kwann tulipewa matumbo maana ndo yanatusotesha mjini
i knw u Excel mwacha asili ni mjasiri!!i envy u aisee u can do dat!nani akupe mamlaka hayo?... kuzaa unazaa na ngumi hurushi qudadeki!