sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
Hivi na wewe ulipata taabu hivi kupata mke?
Huyo mbona tayari kakubali ni suala la jamaa kumuwekea uzio tuMkuu Rich Pol,,nikupe usia ehee!Kumpata mwanamke ni rahisi lakini kumpata mwanamke bora sio rahisi,nilipata taabu kweli.Ila wewe tatizo lako unaonekana una tamaa,kila mwanamke unamtaka,Simba akimkimbiza swala hata huyo swala ajichanganye katika kundi la swala 1000 ,Simba ataendelea na huyo huyo swala wa kwanza tu!
Honey Faith ni mwanamke bora,na ni mrembo hasa si unasikia na jina #Honey ,mmbembeleze huyo mtoto maana ni rafiki wa mke wangu,si unajua ndege wanaofanana hukaa pamoja,sasa sijui nikuandikie mistari ya kumwambia?!Lakini hata Daudi1 anaweza kukusaidia!
Wewe jali tu kuwa nakupenda hapo ulimi uliteleza tu my king.
Sipendi uwe na mawazo yoyote juu yangu mimi nimetulia sana kama unijuavyo.
Moyo wangu na mawazo yangu yote yako kwako.
Mkuu Rich Pol,,nikupe usia ehee!Kumpata mwanamke ni rahisi lakini kumpata mwanamke bora sio rahisi,nilipata taabu kweli.Ila wewe tatizo lako unaonekana una tamaa,kila mwanamke unamtaka,Simba akimkimbiza swala hata huyo swala ajichanganye katika kundi la swala 1000 ,Simba ataendelea na huyo huyo swala wa kwanza tu!
Honey Faith ni mwanamke bora,na ni mrembo hasa si unasikia na jina #Honey ,mmbembeleze huyo mtoto maana ni rafiki wa mke wangu,si unajua ndege wanaofanana hukaa pamoja,sasa sijui nikuandikie mistari ya kumwambia?!Lakini hata Daudi1 anaweza kukusaidia!
Nimekipata mkuu. Huyu Mtoto ananishangaza sana, mimi ni fundi wa kuongea, lakini kwake nabaki a e I o u !!! Yaani maneno yanapotea, hata kuingia huku naingia kwa adabu! Maana muda wowote anatokea.
Wewe ni almasi malkia wangu,kila mara nahisi nataka kuibiwa!
Luv u my king, mimi ni wako peke yako.
Raha zako zimenifanya nigande kwako pekee.
kwa hiyo unataka uanze kujisifu hapa kuwa umemchukua mke wangu? :yuck:
nipo sweetyheart
Hivi mwenyekiti wa humu ni nani mkuu maana Baba yake 'Valentina'alipigwa chini sasa sijui jahazi nan analiongoza au yoyote mwenye ujuzi,mimi nikajua ni wewmi siyo mwenyekiti mkuu, ila huyu jamaa inabidi apate mke
Hivi mwenyekiti wa humu ni nani mkuu maana Baba yake 'Valentina'alipigwa chini sasa sijui jahazi nan analiongoza au yoyote mwenye ujuzi,mimi nikajua ni wew