Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Kweli ng'ombe wa masikini hazai duh. Rich Pol best kulikoni tena mbona kama sielewi hapa kinachoendelea.
Tuliza akili tuna mechi leo huko Cairo, nguvu zote tuelekeze huko.
Kama Honey Faith mwenyewe akikiri ana mume, basi hiyo kazi niachie mimi nitakutafutia mke.

CC: Rich Pol, Daudi1, Honey Faith.
 

Sikupanga kunywa leo! Naenda zangu Samaki Samaki nikajichanganye! Asante sana Bantu lady kwa kunipa moyo.
 
Last edited by a moderator:
Sikupanga kunywa leo! Naenda zangu Samaki Samaki nikajichanganye! Asante sana Bantu lady kwa kunipa moyo.

Acha hizo bhana, mbona ya kawaida. Hebu mcheck Daudi1 akwambie kipindi chetu mimi,yeye na sungura1980 ilikuaje. But Daudi1 nampongeza sn alikuwa mjasiri na leo ana mke. Hakuna kukata tamaa, kwanza hujamsikia Honey faith anasemaje kwa huyu mume aliyejitokeza.
 
Last edited by a moderator:

Asante nimekuelewa ila namtafuta Honey Faith aniambie mwenyewe, ila majibu nitayapata nikiwa pale.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…