Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Du!!! Tangu lini?
Unataka picha?
ImageUploadedByJamiiForums1394372161.667622.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kweli ng'ombe wa masikini hazai duh. Rich Pol best kulikoni tena mbona kama sielewi hapa kinachoendelea.
Tuliza akili tuna mechi leo huko Cairo, nguvu zote tuelekeze huko.
Kama Honey Faith mwenyewe akikiri ana mume, basi hiyo kazi niachie mimi nitakutafutia mke.

CC: Rich Pol, Daudi1, Honey Faith.
 
Kweli ng'ombe wa masikini hazai duh. Rich Pol best kulikoni tena mbona kama sielewi hapa kinachoendelea.
Tuliza akili tuna mechi leo huko Cairo, nguvu zote tuelekeze huko.
Kama Honey Faith mwenyewe akikiri ana mume, basi hiyo kazi niachie mimi nitakutafutia mke.

CC: Rich Pol, Daudi1, Honey Faith.

Sikupanga kunywa leo! Naenda zangu Samaki Samaki nikajichanganye! Asante sana Bantu lady kwa kunipa moyo.
 
Last edited by a moderator:
Sikupanga kunywa leo! Naenda zangu Samaki Samaki nikajichanganye! Asante sana Bantu lady kwa kunipa moyo.

Acha hizo bhana, mbona ya kawaida. Hebu mcheck Daudi1 akwambie kipindi chetu mimi,yeye na sungura1980 ilikuaje. But Daudi1 nampongeza sn alikuwa mjasiri na leo ana mke. Hakuna kukata tamaa, kwanza hujamsikia Honey faith anasemaje kwa huyu mume aliyejitokeza.
 
Last edited by a moderator:
Acha hizo bhana, mbona ya kawaida. Hebu mcheck Daudi1 akwambie kipindi chetu mimi,yeye na sungura1980 ilikuaje. But Daudi1 nampongeza sn alikuwa mjasiri na leo ana mke. Hakuna kukata tamaa, kwanza hujamsikia Honey faith anasemaje kwa huyu mume aliyejitokeza.

Asante nimekuelewa ila namtafuta Honey Faith aniambie mwenyewe, ila majibu nitayapata nikiwa pale.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom