aaah..kumbe anataka
kapotea..atazame pengine
Hahahaaaaa,,kakangu Arushaone upo?Za siku mkuu!Hope shem wangu Lady doctor hajambo!
Hivi siku si ina masaa 24 eheee!Hahahaaaa kiwatengu masaa 24 yote tuko wote na huyo mrembo wangu Bantu lady!
ntakunong'oneza baadae! ngoja ifike am!nani miss neddy au ?
unabana au unamshauri atoe mistari zaidi?
macho mwanangu jamani
Habari gani Excel sungura1980 uran Bantu lady nimeona nije huku kwenu kupumzisha ubongo baada ya kumsikiliza mzee yusuph kwa muda mrefu hapa bungeni akanichosha kwa mipasho yake!
Poleni na majukumu kwa ujumla wenu!
ninabana
macho yanamsumbua mama mzaa chema
I'm gud my hubby,yani kila nikuonapo napata furaha ya ghafla
itabidi nitafute mafuta laini..kulainisha hali :eyebrows: :eyebrows:
nashkuru mkuu,,nlitaka nijue tu km wapo,nkihitaj ntakuchek mkuuwageni tunawajua kwa sura ndio, unahitaji?