kiwatengu! I real mc u...jaman kibabu changuhapo sasa, let her decide on her own
we na yeye mpaka sasa mmefikia wapi?
Humu ndani wazima wote nimewamiss sana. Valentina majenereta yetu yaliopoa vimwana, eti siku hizi nao wana watu wao so wamejanjaruka ila tuwajaribu kama bado wanaweza kuwa majenereta.
Valentina
Hahaaa ngoja tuanze kuwarudisha mmoja baada ya mwingine
hapa ni Rich Pol na nani wanahusika?
hapa ni Rich Pol na nani wanahusika?
mnapendana tayari? nafanya editing pale kwa juu
Niambie shost ulisema kule unataka utafute dawa ya nini tena?
Hebu tuwaite ila mimi kama naogopa ogopa hahahahaa wake zao wasije kututoa macho.
sasa,between him na hubby wako nani wakutafuta?
Ile dawa ya ile kitu aise,hao wake zao usiwaogope bana kwan nini banaa
Unasemaje?Hahahaaaa shemeji kumbe una kumbukumbu eee na Daudi1.