kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
wacha nifanye nao makubaliano ya mwisho.....haina shida.. hebu waweke hapa tuweke mambo sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha nifanye nao makubaliano ya mwisho.....haina shida.. hebu waweke hapa tuweke mambo sawa.
Na ww yko ipi
Wamefanya nini wanaumehaya nitaona mwisho wake yangu macho maana hawa wanaume nao mmmh
weka mambo wazi sasa.. kuliko mbabe wako?
Kwani ukitajwa ndio lazima uje? Hakuna aliyekwita uje kuwa jenereta hapa, sisi tumetulia na waume zetu na tunapenda sana, tena tunawapenda.
Wewe fanya promotion ukimaliza utalala, bahati yako leo umetukuta na akili za mchana, subiri ziwe za usiku utajutraaaa.
Mwache Rich Pol aje aseme mwenyewe, mimi uliposhindwa ile interview nilimalizana nawewe siku ileile.
Wamefanya nini wanaume
Mi namwangalia tuuu,sina maneno mengi leo
mnachepuka sana mpunguze
Wanawake wanaongoza kuchepuka sana.
Mkuu na wewe nimeku PM nipe mrejesho hapa hapa.
hata mimi naweza kukuelewesha tu..
nije?