There is intent to part ways as soon as I am back on my feet.
Near future means not more than 3 years.
Happy?
Rich hebu toa walau muhtasari ya mlikofikia.
Mkuu kawaida mwizi wa ng'ombe hukamatwa na ngozi, Sasa mkuu uran hajakamatwa na ngozi, na kilichofanyika ni utaperi kupitia mtandao baada ya acc yake Kuwa wamei hack, huyu bint anatakiwa arudi kwa mumewe tu, ila tamko rasmi atalitoa mwenyekiti wa tume Lady doctor
Am waiting kwa hilo tamko rasmi kutoka kwa mwenyekiti Lady doctor
Tunafuatilia kwa umakin
Hujambo lakini?!.
Cijambo...
Haya mambo yamekaa mkao wa chura...toeni tamko tujue eti
Cijambo...
Haya mambo yamekaa mkao wa chura...toeni tamko tujue eti
Cijambo...
Haya mambo yamekaa mkao wa chura...toeni tamko tujue eti
Mambo yanaenda vizuri! Unaona uzuri wako ulivyosababisha majanga??!.
hi hi ...maamuzi mpaka sasa yanaenda vyema, mi sijakufanyia ubaya wowote ule.
Usiwe na wasi wasi kamati itatoa maamuzi mazuri tu!!
Hivi alifanikiwa walau kukushika?
Hapa maamuzi lazma yawe mazito ati... kama si hacker lakini..
Heeeee wewe .....
Hackers again or real uran