Mimi nilikuwa home mda uran ananisumbua tna nabembelezwa na honey wangu...na nilimwonyesha ndo mana alitaka kumfanya kitu mbaya...
Mimi nilikuwa home mda uran ananisumbua tna nabembelezwa na honey wangu...na nilimwonyesha ndo mana alitaka kumfanya kitu mbaya...
Haaa uzuri wangu unaujua mume wangu...huyu alikuwa na lake...eti mtu alihack kama ametulia mbona mke wake kakasirika?? There are secret hidden.
We mzuri, hata hapa naongea na wewe najikaza tu, ila mwili unanitetemeka.
heeeh heh. mwanakamati wewe!!
We mzuri, hata hapa naongea na wewe najikaza tu, ila mwili unanitetemeka.
Ha ha ha Sio Rich kaandika ni hackers hawa
Na hiyo ni moja ya sababu iliyonifanya nijitoe kwenye kamati huyu mtoto si mchezo anaweza fanya ushaidi kuvurugika muda wowote
Ushauri!
Mwenyekiti wa kamati hakikisha wajumbe wote wanaapa kwa imani zao bila hivyo kazi hamna.
Nini hiyo ROFLMFAO...tafsiri kwanza
Ha ha ha Sio Rich kaandika ni hackers hawa
Ndiyo mimi! Nakosa confidence kukuhoji kama mjumbe! Kazi ya kukuhoji nitamuachia Lady doctor na Kibo10 mimi nitashughurikia TCRA na kumhoji uran tu otherwise utanishawishi tu.
Na hiyo ni moja ya sababu iliyonifanya nijitoe kwenye kamati huyu mtoto si mchezo anaweza fanya ushaidi kuvurugika muda wowote
Ushauri!
Mwenyekiti wa kamati hakikisha wajumbe wote wanaapa kwa imani zao bila hivyo kazi hamna.
Ndiyo mimi! Nakosa confidence kukuhoji kama mjumbe! Kazi ya kukuhoji nitamuachia Lady doctor na Kibo10 mimi nitashughurikia TCRA na kumhoji uran tu otherwise utanishawishi tu.
ha ha ha ha...hii ni noma sasa
hahaha. Ambao ni?
huo utamu unaingilia wapi unatokea wapi?
uzuri ni kwamba mimi na kiwatengu hatutakaa tugombane so hakutakuwa na usuluhishi ambao utahusika