uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Jamani kwa uchunguzi nilioufanya inaonekana tarehe 3/04/2014,,kuna mtu mwenye ip address 1.168.........alilogin kama uran akiwa Harare Zimbabwe,,na nilijaribu kufanya upelelezi kwa siku hiyo uran alikuwa Dar es salaam.Hivyo kuonyesha wazi pasipo na shaka kuwa kuna mtu alihack account ya uran!
Hata hivyo natoa onyo kali kwa @ Uran,kubadilisha password yake na kuhakikisha anaitunza vizuri,haya yasijirudie tena!Hata hivyo ili sio tamko la mwenyekiti!
Cc Valentina,,,, ICHANA,, uran,,, Lady doctor,,, kiwatengu,,, Bantu lady,, Mokoyo,,, Rich Pol,,, Kibo10,,, shansarie
nakubaliana kabisa na maamuzi ya tume.
asanteni sana.
Last edited by a moderator: