Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Jamani kwa uchunguzi nilioufanya inaonekana tarehe 3/04/2014,,kuna mtu mwenye ip address 1.168.........alilogin kama uran akiwa Harare Zimbabwe,,na nilijaribu kufanya upelelezi kwa siku hiyo uran alikuwa Dar es salaam.Hivyo kuonyesha wazi pasipo na shaka kuwa kuna mtu alihack account ya uran!

Hata hivyo natoa onyo kali kwa @ Uran,kubadilisha password yake na kuhakikisha anaitunza vizuri,haya yasijirudie tena!Hata hivyo ili sio tamko la mwenyekiti!

Cc Valentina,,,, ICHANA,, uran,,, Lady doctor,,, kiwatengu,,, Bantu lady,, Mokoyo,,, Rich Pol,,, Kibo10,,, shansarie

nakubaliana kabisa na maamuzi ya tume.
asanteni sana.
 
Last edited by a moderator:
Yaani ilikuwa bahati sana shost, na ile interview ilisaidia sana.
Ni mwanaume wa ajabu sana, katulia sana, hana tamaa zaidi ananiheshimu sana.
Mimi ni mtukutu kwake ila hajawahi kurudishia mpaka naogopa.
Waendeleaje lakini luv.
Valentina

Naendlea poa my dia,nasubir majibu ya uhakika kwanza.
 
Last edited by a moderator:
nakubaliana kabisa na maamuzi ya tume.
asanteni sana.
uran haya sio maamuzi ya tume,si unaona hata sahihi sio?Mwenyekiti atakuja kutoa tamko.Hii ni kwa mujibu wa teknolojia,utaalamu umeonyesha hauna hatia,ila nakuonya ubadilishe password na uhakikishe haiibiwi tena!
 
Last edited by a moderator:
uran haya sio maamuzi ya tume,si unaona hata sahihi sio?Mwenyekiti atakuja kutoa tamko.Hii ni kwa mujibu wa teknolojia,utaalamu umeonyesha hauna hatia,ila nakuonya ubadilishe password na uhakikishe haiibiwi tena!

hewaa..asante mkuu kwa kuipenda ndoa yangu.
my wife, come this way!!
i love u
 
Last edited by a moderator:
anakula vizuri hajabadilika japo stress zinamfanya anaharisha sana.
ni muoga mno

Jirani hatuonani, za weekend. Sasa mimi naona shemeji yetu uran kajiunza.
Shost yetu Valentina amsamehe na arudi kwenye ndoa yake.
Ndoa ni uvumilivu sana, kuna milima, mabonde na tambarare. Uran anampenda sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom