nitabadilisha password kupingana na hackers wanaotaka kuniharibia ndoa yangu..
na utulie utampa magonjwa ya moyo mwenzio natumai umejifunza next time yakirudia haya tutaunda tume yakuwatenganisha vinginevyo msuluhishe mambo yenu chumbani
pole sana afwazal umerudi kuna mtu ananizingua huku nje 'what" ana jina kama lako ni pacha wako nini?
Ivi kumbe ujui ni pacha jamani jiran
ila mi sikuhusika na mchepuko ati!!
Ujue nina tumbo la kuendesha mwenzio,mshtuko nlioupata ni mkubwa sana jirani yangu
dah pole sana hata mimi sasa ni automatic
Hivi hii tume inafanyakazi kweli? I wish my dady Baba V angekuwepo aone mwanae nnavoumia
Rich Pol bidada Honey Faith yupo wapi?Usifike huko anaweza kuja na maamuzi ya ajabu akaharibu na tume ikavunjika, tunatumia gharama kubwa sana! Naomba uvumilivu wako! Angalia cartoon na chukua wine unywe niko njiani nakuja.
eneo la mtongozano hili kupunguza stress