Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Daaaah me ni full kuinjoy maana duuh hadi wake zao ni madem zetu hahahaha hii ni soooo!
 
Me nipo single bhana so ruksa kwa manzi yoyote kudate nami.....
 
Umeona tunavyoendana? Hata mie nampenda mke wangu sana. Tutajitahidi wasijue. Jibu PM yangu basi.

kaongeze mitishamba unayotumia kuwanasa vichenchede wengine,,,kwa Eshy m.s,umekula wa chuya...
 
kaongeze mitishamba unayotumia kuwanasa vichenchede wengine,,,kwa Eshy m.s,umekula wa chuya...

Kumbe wewe ndo Eshy m.s!!. asante sana. Ningekutongoza mara mbili. Basi ngoja ile niachane nayo nikomae na kutongoza hii ya Tyta
 
Last edited by a moderator:
hata mimi mai waif ntamwambia hivohivo. bila kufanya hivi watatustukia ujue. afu PM yako sijakuelewa... au umesahau kesho ni siku ya kazi?

hee we mbaba samahani usinivunjie ndoa yangu eh! ndoa yenyew ata siku haijamaliza,, nimekuPM sa ngapi? mkeo ana kazi aisee,,
 
hee we mbaba samahani usinivunjie ndoa yangu eh! ndoa yenyew ata siku haijamaliza,, nimekuPM sa ngapi? mkeo ana kazi aisee,,

achana naye huyo...si unajua anatokea Psychiatric Ward ,,,yakishampanda kichwani anakuwa hajielewi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…