Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
hapana ndugu yangu tena ndoa yetu iko kwenye hatua nzuri sana
plz usiharibu kitu chochote hapa coz naweza nisikuelewe kabisaa
Tena umuhimu wangu ndo unahitajika kipindi kama hiki mkuu. Tafadhali sana hofu zetu tuziweke kando maana umezungumzia suala la msingi sana ktk maisha....ndoa!
Sijambo shkamoo!
Marhabaa! Jamani mnatunyima nini Humu? Nilikuwa machimboni porini hakuna hata network.
Tunajiandaa na ndoa ya uran na Vale.....
malaya tupu humu manyo*******ko
Ha ha ha!!! Sawa wifi
Du nimekuja na mguu mzuri, vipi wewe Fisherscom umeshapata mwenzio??
malaya tupu humu manyo*******ko
Mkuu bado nipo nipo,c unajua wengine domo zege mpaka uzunguke weee. Kiwatengu anasema nikishindwa atatoa msaada kwenye tuta....teh teh
Yaani huyo ndiyo mtalaam wa watoto wa kike!
Kama amekuahidi utapata, alifanikisha kwangu nikapata
sijasepa nlikuwa natomba@ fisher...... mmefikia wapi?
Humu umeingia bunge la katiba naomba uwafuate wenzio.
Hahahaaaaa, majibu kuntu.....atoke njeeeeeeee!
Hujambo lakini?
Sijambo, shikamoo Ka ' Rich