Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

hapana ndugu yangu tena ndoa yetu iko kwenye hatua nzuri sana
plz usiharibu kitu chochote hapa coz naweza nisikuelewe kabisaa

Tena umuhimu wangu ndo unahitajika kipindi kama hiki mkuu. Tafadhali sana hofu zetu tuziweke kando maana umezungumzia suala la msingi sana ktk maisha....ndoa!
 
Tena umuhimu wangu ndo unahitajika kipindi kama hiki mkuu. Tafadhali sana hofu zetu tuziweke kando maana umezungumzia suala la msingi sana ktk maisha....ndoa!

umuhuimu wako kiaje mkuu kwenye maandalizi ya ndoa yangu, au ni kwenye michango?
 
Du nimekuja na mguu mzuri, vipi wewe Fisherscom umeshapata mwenzio??

Mkuu bado nipo nipo,c unajua wengine domo zege mpaka uzunguke weee. Kiwatengu anasema nikishindwa atatoa msaada kwenye tuta....teh teh
 
Last edited by a moderator:
sijasepa nlikuwa natomba@ fisher...... mmefikia wapi?
 
Mkuu bado nipo nipo,c unajua wengine domo zege mpaka uzunguke weee. Kiwatengu anasema nikishindwa atatoa msaada kwenye tuta....teh teh

Yaani huyo ndiyo mtalaam wa watoto wa kike!
Kama amekuahidi utapata, alifanikisha kwangu nikapata
 
ndio kaka sema mtoto kaamka anataka kunyonya nazuga akilala namwamisha naanza kimhongomgongo, ukizingatia hali ya tabata leo n kaupepo hatuhitaji AC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…