Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Tunakunyima mengi mazuri,ukajifanya mjanja kunifungia ndan kwako eti ili nsirudi kwa mume wangu

Jamani nilishindwa kuvumilia mmekaa kimitego sana hasa mlipokuwa mnakaa sebuleni mnapandisha miguu, nachanganyikiwa, ndiyo maana nikakimbia. Au mlikuwa mnanitega maksudi?
 
tena imara kupita maelezo.. afu mpenzi hujui jinsi hiyo picha yako hapo kwenye avatar inavyonimaliza

Bby akee alafu we ndo ulinshauri niiweke jaman,kumbe inakumaliza swty. Sasa ukimalizika mi ntabakije? Tehe tehe
 
Jamani nilishindwa kuvumilia mmekaa kimitego sana hasa mlipokuwa mnakaa sebuleni mnapandisha miguu, nachanganyikiwa, ndiyo maana nikakimbia. Au mlikuwa mnanitega maksudi?

Hehee akutege nani jamani,mi ndo nmezoeshwa kujiachia hivo na my mume uran
 
Last edited by a moderator:
asante bwashee nitakaribia lakini itabidi umueleze mamsap Valentina mapema..... kuwa una mgeni anatarajia kuja kuwasalimia.......mana si unajua suala la wivu linavyohusika??????????

Karibu sana mradi tu usikae karibu nae wala usimtolee mimacho yako
 
Last edited by a moderator:
balaa kwa nini tena bwashee? nduguyo hajambo sana tena leo ndo amezaliwa hivyo nimemwambia atulie asitoke
kwa vile bado mtoto.

Cc: Daudi1

Mpe salamu nyingi sana usimwambie ila nitakuja kula cake jioni.
 
Last edited by a moderator:
Basi karibu sana hapa maskani, unaweza kumleta mwenzio ukamtambulisha hapa, kisha mkuu kiwatengu akawaweka pale juu baada ya kukaguliwa, laaa kama unataka mchepuka utapata humu wapo tu.

Asante kwa ukaribisho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…