Itakula kwake....atakosa mwana na maji ya moto dadaaadek......
Kumbe nae yuko single mkuu?! Can't wait banaa hebu fanya fanya mambo tuone uelekeo wake mkuu.....maana dah....!!!Mkuu kuna binti nimemwona nearby ni mzuri balaaa, anaitwa Dinazarde ukimpata lazma roho yako ifurahi, na ninaamini hata yake itafurahi pia. Ana kila kitu unachokipenda wewe, afu uzuri mmoja sasa..yuko peke yake i.e (single) akija hapa twende nae taratibu. Zile ahadi za nitakununulia sato au sangara usiziseme wakati huu.
Hapa piga vocal kavu kwanza..atalegea tu!
Niko kwa pembeni hapa watching, and supporting you...
Kumbe nae yuko single mkuu?! Can't wait banaa hebu fanya fanya mambo tuone uelekeo wake mkuu.....maana dah....!!!
Vipi mkuu kuna mtu anahitaji msaada,tumtengenezee kiota
Kumbe nae yuko single mkuu?! Can't wait banaa hebu fanya fanya mambo tuone uelekeo wake mkuu.....maana dah....!!!
We unammiss mume wa mtu kwa nguvu hivyo? Duh
We hujarudi tu? Hebu fanya bidii haraka iwezekanavyo
Mmh usimwambie mume wangu lakin
Nimekuona mimi mbeya nisemeeeee???????Mmh usimwambie mume wangu lakin
Mtulize huyo mtoto ujue anakuogopa hiyo avatar inamtisha
Mtulize huyo mtoto ujue anakuogopa hiyo avatar inamtisha
Hahhhhahhhhahhha
Hujambo mutoto muzurii wa kiarabu?!
Wamekudanganyaa mi mwarabu!!
Mchepuko huoo unaingia line wenyewe. Nakuonea wivu....