nipo ndugu yangu, karibu sana
ila tunahitaji update ya nguvu.
hasa kwenye kamati ya ukaguzi.
hawa kina
Asprin na
Filipo wamesahau nafasi zao kabisa.
watu kibao humu hawajakaguliwa.
anzia na huyu
janeth1 unayemtaka
na wengine
ukaguzi ni muhimu.
mapendekezo yangu.
ndugu
Tyta apewe mikoba ya ukaguzi.
na bwana
mwekundu ye afanye ukaguzi wa kiintelijensia kugundua jinsia.
Hawa wakilipwa vizuri na hao wakaguzi wazamani wakiongezewa malipo watashirikiana vyema.
Ndugu
Erickb52 atangaze sasa kuacha uasi.
Jukwaa likae sawa maisha yaende.
Utambulike mwenyekiti wa kudumu.