Na siingi ng'o.. kwanza nimehama kwenye kagorofa..
Ooops,jaribu sala kwa wingi zitakusaidia,
Unanitisha bana na mabisu yako........
Mkuu sasa hapa utakuwa hujakamilisha mpango...cha kufanya hebu toa jina la mtu afu watu tufanye tathmini....
mkuu naweza mention mke wa mtu bana!
sasa naweza taja warembo kama Heaven on Earth, miss chagga, Passion Lady (goodmorning my X!!), ama ladyfurahia, ukakuta wooote wamegandwa!!!
halafu nashangaa hivi humu hamna ndoa zinazovunjikaga??!!! sijaona kabisaa mtu akibebeshwa vyombo!!
Hiyo ni big team...
Mcheki ladyfurahia yuko single...
really? ladyfurahia yuko singular?
but King'asti nae yuko hot sana mkuu!
hebu chomeka gia ya kupandia mlima tuone kama atashuka!
iam waiting for your sweet word, ladyfurahia.. njoo tufurahike huku!!!
hivi Paw ndio nini?
mbona nashindwa kufanya SWOT hapa?
hajui kuwa mimi ndio namiliki IMF, CIA, FBI, SWAT na NSA?
Ajiangalie kabla sijamuarest na kumrearest!
Ukitaka kupiga juu kwa juu sawa ila kumchukua mazima mazima itakucost
really? ladyfurahia yuko singular?
but King'asti nae yuko hot sana mkuu!
hebu chomeka gia ya kupandia mlima tuone kama atashuka!
iam waiting for your sweet word, ladyfurahia.. njoo tufurahike huku!!!
Wifeeeeeeeee
mkuu naweza mention mke wa mtu bana!
sasa naweza taja warembo kama Heaven on Earth, miss chagga, Passion Lady (goodmorning my X!!), ama ladyfurahia, ukakuta wooote wamegandwa!!!
halafu nashangaa hivi humu hamna ndoa zinazovunjikaga??!!! sijaona kabisaa mtu akibebeshwa vyombo!!
mmh naona majanga Passion Lady ameshakuwa EX tena nani yupo sasa .?
Huyo jamaa ndiyo anakitufe cha ban..ila usiogope!!!