Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kiki ni Lamo nikiingia uzi wowote lazima udamshi machawa wangu wako nyuma..
Huyo mi simpi kiki nataka yy ndo aendelee kunipaisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, kazi mnayooo.
Wake wenza unao na unatambaa nao, afu sio shida zenu. Lol
 
nilijua utaniogopa ila mimi ndo nmeanza kukuogopa sasa,,hata hutishiki
Alwatani mimi natishikaje?
Turudi kwenye lengo.

Mimi nimekuelewa, njoo ule raha alizozikataa Lamomy
Kwa kifupi tunishasema tena pale juu.
Nilikuwa na mke wangu huku.
Kila mtu alikuwa anatujua sasa nikawa tajiri mke akaogopa, tukakaa mbale zote mbili tukakubaliana kuachana.

Sasa huwezi kunitapeli hadi ziishe.
 
Alwatani mimi natishikaje?
Turudi kwenye lengo.

Mimi nimekuelewa, njoo ule raha alizozikataa Lamomy
Kwa kifupi tunishasema tena pale juu.
Nilikuwa na mke wangu huku.
Kila mtu alikuwa anatujua sasa nikawa tajiri mke akaogopa, tukakaa mbale zote mbili tukakubaliana kuachana.

Sasa huwezi kunitapeli hadi ziishe.
Mimi naweka sumu kwenye chakula aseee,,mda wa kukutapeli sina kabisa,je upo tayar?
 
Mr Handsome!! Mbona tulipatana bila kuingia humu? Em fanya ukuje hapa tupatane upyaa!!

Ukija hapa ndo ntakukubali turudianee, ila kule tsup nehiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu kumekucha wewe na Mr handsome wako 🤣🤣🤣
Aje hapa akuombe msamaha hadharani mashahidi tuone.!!
 
Alwatani mimi natishikaje?
Turudi kwenye lengo.

Mimi nimekuelewa, njoo ule raha alizozikataa Lamomy
Kwa kifupi tunishasema tena pale juu.
Nilikuwa na mke wangu huku.
Kila mtu alikuwa anatujua sasa nikawa tajiri mke akaogopa, tukakaa mbale zote mbili tukakubaliana kuachana.

Sasa huwezi kunitapeli hadi ziishe.
Mimi naweka sumu kwenye chakula aseee,,mda wa kukutapeli sina kabisa,je upo tayar?
 
Alwatani mimi natishikaje?
Turudi kwenye lengo.

Mimi nimekuelewa, njoo ule raha alizozikataa Lamomy
Kwa kifupi tunishasema tena pale juu.
Nilikuwa na mke wangu huku.
Kila mtu alikuwa anatujua sasa nikawa tajiri mke akaogopa, tukakaa mbale zote mbili tukakubaliana kuachana.

Sasa huwezi kunitapeli hadi ziishe.
Mchukue huyo tunatoka sehemu moja anafaa kabisaa ariririiiiiiiiiiiiii shem ninaye 😹😹😹
 
Back
Top Bottom