mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Amejenga mbweni dare Salamanakaa kwake au kwao,,au nimeelze ye mwenyewe
Namjua physically
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejenga mbweni dare Salamanakaa kwake au kwao,,au nimeelze ye mwenyewe
😹😹😹 kuteseka tena??Mimi nakuacha ukateseke zako huko
Ngoja niringe kwanza, nikikubali haraka utanisanukia utapeli wanguNisikilize! hapa usalama ni uhakika, kula uhakika, furaha uhakika, mapenzi uhakika.
Vyote vinapatikana kwa hadhi ya hali ya juu Kabisa.
Karibu Mpenzi
Kabisa ni vichekesho sana Yaaani sijui wana matatizo pahalaKabisa hizi multiple ID ni hatari sana
Sasa nikipata ban mtoto humpati huyo ujue 😹😹😹Wewe Ngoja nifanye mpango upate ban tena, ili niwe na amani majukwaani 😅😅
Asante kwa kunisanua coz mm ni mgeni mkuuKuna watu walichapana kupitia huu uzi, tena kizazi kile...ngoja mlianzishe tena tuone🤣🤣
Huu uzi na ule wa selfika ni hatari kwa afya ya maungo..sijui siku hizi.
😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Watu wawe makini sioKuna watu walichapana kupitia huu uzi, tena kizazi kile...ngoja mlianzishe tena tuone🤣🤣
Huu uzi na ule wa selfika ni hatari kwa afya ya maungo..sijui siku hizi.
Ni kweli mimi ni mmojawapo niliyepata warembo wawil kupitia huu uzi japo nmebadili I'd asinijue kiutan utan hivi hivi tukazama PM mchezo ukawa umeishaKuna watu walichapana kupitia huu uzi, tena kizazi kile...ngoja mlianzishe tena tuone🤣🤣
Huu uzi na ule wa selfika ni hatari kwa afya ya maungo..sijui siku hizi.
🤣🤣🤣 kiki ni Lamo nikiingia uzi wowote lazima udamshi machawa wangu wako nyuma..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlikokwaanaa nyie watu, mfanye mrudi mkapatane upyaa!!
Km kuna ba tamu aliwagonganishaa, mmchangie kumfurushaaa.
Woiiiiiih
nilijua utaniogopa ila mimi ndo nmeanza kukuogopa sasa,,hata hutishikiUsijali mimi ndio kiboko ya kila aina ya tapeli.
Nauchukulia utapeli kama mental health.
Hapa umepona mrembo wangu!
Apostle acha tabia mbaya y’a kukopa 🤣🤣🤣Ni mwendo wa kukopa tu 😅
Ni kweli mimi ni mmojawapo niliyepata warembo wawil kupitia huu uzi japo nmebadili I'd asinijue kiutan utan hivi hivi tukazama PM mchezo ukawa umeishaKuna watu walichapana kupitia huu uzi, tena kizazi kile...ngoja mlianzishe tena tuone🤣🤣
Huu uzi na ule wa selfika ni hatari kwa afya ya maungo..sijui siku hizi.
Kabisa wasifanye mambo ya Simba na yangaHalafu yanaishia humu humu.
hakuna kuanzishiana uzi hapa