Tulale sweetheart nakupenda eeh...Sasa ndio mambo gani umeblock pm ako
Okay okay Eng coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwe serious or not, sio shida sana, muhimu mie niko serious inatoshaaa.
Hapana, uanze wewe maana wewe ndio MTU maarufu hapaIanze na wewe mwenyewe
Oooh sorry babyNanyonyesha n
Daaah ila mpenzi wangu hivi unajua navyo kupenda lknπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Unanisingizia bwana!!
Nmemuambia bro shemeji yake ana msalimia babe wewe ni wangu tuuBabe mambo gani tena hayaπ€£π€£π€£
Mkwe! Saa 1 uwe hapa, nina jambo na wewe saa 3 usikuHapana, uanze wewe maana wewe ndio MTU maarufu hapa
Labda niwabemende waoOooh sorry baby
Hongera kupata mtoto
Tulia tuu ndani hawa wahuni wasim-bemende mtoto
Sijui kwakweli, maana wewe unatupenda msururu.Daaah ila mpenzi wangu hivi unajua navyo kupenda lkn
Ukiniacha nakuloga.Nmemuambia bro shemeji yake ana msalimia babe wewe ni wangu tuu
Sina mpango wa kukuacha
Leo naja...
πππ Nimeshtuka sijawahi kuuona huu uzi nilivyoona jina lako nikacheka.!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Jamani nani kafukua makaburi? Odo Lamomy hakuna cha shemeji hapo. Enzi hizo chitchat ya moto π₯ kila mtu na babe wake wa uongo na kweli... ππππ nilikuwa na mababies naringa, atakayeniudhi namtafutia mume mwenza πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
JamaniMkwe! Saa 1 uwe hapa, nina jambo na wewe saa 3 usiku
Babe kama babe ila kumbe ulimwacha mwenzangu, you mean na mimi siku ntaachwa pia?π’Anyway mkimwona Valentina hapa mwambieni nishaachana nae.
Kwa sasa niko na tulizo la moyo wangu financial services πππ
Mimi pia ni kabibi mkuuπββοΈ
Here I am!
No baby! huyo ndio aliniacha mimiBabe kama babe ila kumbe ulimwacha mwenzangu, you mean na mimi siku ntaachwa pia?π’