farkhina nae ndugu yangu kabisa,binamu yangu
Kah! haya mapenz ya nje nje haya.....!!! ngoja nikufikirie, c unajua tena had nikawaze
Mwambie huyo....
Kah! haya mapenz ya nje nje haya.....!!! ngoja nikufikirie, c unajua tena had nikawaze
Mmmh hii mtongozano live hainioniii.... Nmeshachoka kukaa single
Price kashakubali wala usijali mkuu..yule ni wako jana umemaliza kila kitu...
nasubr udhibitisho wake tu nianze kuitwa baby
Una ham yakuitwa babe
Nina hamu balaa cku nying sijaitwa hvo
jamani eh... natangaza nia.........!wenzako washaanza kutangaza nia mbona umechelewa jaribu labda atakuona wewe
jamani eh... natangaza nia.........!
hehehe......hahahha
Mmmh hii mtongozano live hainioniii.... Nmeshachoka kukaa single
nikupe dk ngap za kuniwaza mpenz