Kwani huwezi muacha huyo Slave uka-test na huku kwangu? Unaona Kiwatengu amenielekeza kwingine wakati mimi nilikuwa nakuhitaji wewe tu?!!!!Bado tupogo...........
Nakusubiriiiiiii,,,karibu
binamutz... ameamua kuvua na koti...... haaaa haaaa haaaa!!!
ww siunataka six pack hizo hapo special for u@price
Ha ha ha binamutz mmh mbona hii ni zaidi ya six pack
ahsante nachokudai naomba unilipe afu naomba nkukopeshe tena maana ur a good debtor
Huyo kasafiri mbona shaka ondoa
Hehee,itabidi nkusindikize
ahsante wangu ila utakuwa kidumu au super sub
u nowo amu drinkingi mate bicozi off uHehee,itabidi nkusindikize
Najua sana uko straight ngoja tusikilizie tena...
na ww unataka?
u nowo amu drinkingi mate bicozi off u