Tobaaaa,nakuogopa aise
Hehee,itabidi nkusindikize
Dunia hii hatareee. Ushanitoroka mara hii mamsap?!
Nini hiyo??
Usijari utapata, wewe tena! Issue yenyewe unaijua lakini? Kama unaijua naomba bill basi!
Makubwaa...tulikua wapi mi na wewe...hahaha
miss chaga come zis wei.....kwanza nikupe mistari mizito na nyepesi....mai hati iz fulu of lavu .....
Hako kamwili kanakuogopeshaa!
Mmm hapana we hujakaribishwa
kwani hujui....?
Nitatangaza patna wangu muda si mrefu.
embv nishtue issue gani