Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
kuna mdada wa ukweli anaitwa Bantu lady ngoja aje hapa afu, umtongoze!
Nimekuja kiwatengu but si kwa kutongozwa. Muone kwanza, we si umeona sifa nilizotaka? halafu yeye ana macho kwanini umsemee?
mi nimempa tu taarifa, ujue kupendana raha sana..
ngoja nione mtongozano hapa huyu jamaa tokea juzi anatafuta wakumpoza..
Mwambie aje kipande hii namuhitaji naona huyu mke wa mtu anataka kuniingiza majaribunikuna mdada wa ukweli anaitwa Bantu lady ngoja aje hapa afu, umtongoze!
ahaaa...hivi hakuna nikichoharibu hapa? we wako kabanga kama sijakosea, niambie niweke list vizuri..
mi nimempa tu taarifa, ujue kupendana raha sana..
ngoja nione mtongozano hapa huyu jamaa tokea juzi anatafuta wakumpoza..
Hapana nahisi umechanganya mafile
Aaaah jamani mrembo mbona unakuwa hivyo sogea huku basi tuongee jamani eeNimekuja kiwatengu but si kwa kutongozwa. Muone kwanza, we si umeona sifa nilizotaka? halafu yeye ana macho kwanini umsemee?
ha ha ha ha Honey Faith itabidi basi iwe hivyo, kumbe hukukubaliana na jamaa
Unajua mmejificha sana jamani hatuwaoni usijali kamwe hautajutia kuwa na mimi come this wayDuh toka juzi na hajapata hata wa kupepesea macho?
Kupendana raha sana kiwatengu. Ukimpata mnayeendana si tofauti na wewe.
Kwahiyo kiwatengu nikwite kuwadi ama. Hahahaaa una kazi wewe.
Daudi1 mimi sijui kama utaniweza, halafu sifa zako ziweke hapa.
Kiwatengu macho yamemtoka.
afadhali uwe unadanganya. hivyo hivyo