Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Kwahiyo kiwatengu nikwite kuwadi ama. Hahahaaa una kazi wewe.
Daudi1 mimi sijui kama utaniweza, halafu sifa zako ziweke hapa.
Kiwatengu macho yamemtoka.
Kwanini nisikuweze na mimi nimekamilika,ni mwanaume kamili kila idara najiamini fugua moyo wako unipe nafasi kamwe hautajutia kuwa na mimi ati! njoo mrembo ujue nimezunguka jua limeniwakia njoo unipoze moyo wangu
 
Bantu lady & Daudi1 fanyeni kweli basi watu tushangweke mana nawachabo mda mrefu kweli
Hamfiki muafaka!
 
Last edited by a moderator:
NBAA ndo nn tena?

ahaa ngoja aje utamkubali, akimaliza hapo anakuwa proffessa...
utamtaka?
atapata semina kibao za ulaya na marekani,
na huko huwa wanaenda wawili wawili nafasi iko wazi kwako
 
Bantu lady & Daudi1 fanyeni kweli basi watu tushangweke mana nawachabo mda mrefu kweli
Hamfiki muafaka!

Hahaahahah chocs usiniambie mko safari moja na kiwatengu.
Wangu bado naona, sitaki kumtema mtu katikati so lazima akidhi vigezo vyote.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini nisikuweze na mimi nimekamilika,ni mwanaume kamili kila idara najiamini fugua moyo wako unipe nafasi kamwe hautajutia kuwa na mimi ati! njoo mrembo ujue nimezunguka jua limeniwakia njoo unipoze moyo wangu

Ebu ishia hapohapo katikat ya njia
 
Yetu macho..ila mie nawatakia kila la kheri
Hahaahahah chocs usiniambie mko safari moja na kiwatengu.
Wangu bado naona, sitaki kumtema mtu katikati so lazima akidhi vigezo vyote.
 
Hahaahahah chocs usiniambie mko safari moja na kiwatengu.
Wangu bado naona, sitaki kumtema mtu katikati so lazima akidhi vigezo vyote.
Vigezo nimekidhi mama pls moyo wangu unapata shida juu yako naomba uwe tulizo la moyo wangu mtoto masikio hayachoki kusikia sauti yako hakika mungu alifanya upendeleo juu ya uumbaji wako,nahisi mwenye bahati ya kukutana na wewe binti mrembo pls come on nataka uwe wangu tena wa maisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…