We si ulinikuta mwenyewe pale nakula zangu embe,ukaanza kunichombeza na maneno yako??
uwiiiii mke wangu ulichombezwa?
ulilainika? niammbie nifaint kwanza!!
Naona unataka kunigombanisha baba yako wakati haya mambo ni ya sisi vijanaNaona unaanza ku vibrate,hahaaa chezea my dady wewe!!
Msamehe bure inaonyesha anakosa maneno matamu kutoka kwakouwiiiii mke wangu ulichombezwa?
ulilainika? niammbie nifaint kwanza!!
Waoh! pole na majukumu mama I was waiting you pale miembeni afadhali umekuja sauti yako tu mpaka nahisi kaubaridi kwa moyo oooh baby come on uutulize mtima wangu unao tapatapa juu yakoNimekuja niko hapa. Si unajua majukumu tena
Jamani sasa hapo unataka mumeo anitoe roho kwakweli............We si ulinikuta mwenyewe pale nakula zangu embe,ukaanza kunichombeza na maneno yako??
Jamani sasa hapo unataka mumeo anitoe roho kwakweli............
Msamehe bure inaonyesha anakosa maneno matamu kutoka kwako
Tobaaaaaa@Uran bana
Shusha presure mpenzi,hakuna wa kunilainisha zaidi... bby sasa hiyo ndoa tunafunga ln lakini?? Mzee amecharuka uku
Aaaah! hapo itakuwa ngumu wife walo mwenyewe anashoboka ndo maana nimekuambia umtulize watakuja fisi maji watambeba halaf watakupiga bao na kwenda kupeleka mahari kwa baba yake inaonyesh unajivuta sanana nitakutoa roho kweli for my wife.
Labda ulikuwa analogy kama una maneno matamu si umesikia mwenyewe akisema alianza kulainika pale kwenye mwembe inamaana ningekuwa siriasi ungekuta manyoya tuwewe daudi1 kama sina maneno matamu nilimpataje huyu girl wangu?
Hivi hujui kuwa 'Valentina'. Ndiyo mdada mwenye uzuri wa pekee?
she is the most beautiful girl in this country.
nakuja kutoa mahari next week tell ur dady nakuja kukuoa.
i love u sana baby wangu
wewe daudi1 kama sina maneno matamu nilimpataje huyu girl wangu?
Hivi hujui kuwa 'Valentina'. Ndiyo mdada mwenye uzuri wa pekee?
she is the most beautiful girl in this country.
Labda ulikuwa analogy kama una maneno matamu si umesikia mwenyewe akisema alianza kulainika pale kwenye mwembe inamaana ningekuwa siriasi ungekuta manyoya tu