Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo mkuu penalt huwa haina star....ata Messi huwa anakosa....Unataka msaada kwenye tuta...ha haa haaa
Bora umekuja, maana....Huu uzi utafungwa lini?
Umekuja mpaka huku kwa watongozanao?Kwani ni lazima uandike kwa lugha asiyoijuwa vizuri? Ni nani alikudanganya?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Niko kamili mkuu...mwenyewe jipangeeMaumivu ya beto unayajua au una hamu nayo?
Niko vizuri sana mkuu hadi najiogopa...kijana kuwa makini sanaaa
ooooo nimechelewa nini. Any lady left beind?...njo tutongozane tena leo ijumaa full offer kinywaji mpaka........
Teh Teh....jeiefu raha sanaNdo hivyo mkuu penalt huwa haina star....ata Messi huwa anakosa....
Avatar isikutishe laazizzz cocochanel...iko na handsome mwenyewe utasuuuzika na roho yako...karibu tujibebishe...Hiyo avatar yako mie
Nakimbia sitaki kuzeeka haraka
Lol
Avatar isikutishe laazizzz cocochanel...iko na handsome mwenyewe utasuuuzika na roho yako...karibu tujibebishe...
Usiogope bby...jus be free nami. Afu wajua niko 'single" wasije kukuwahi bhanaa, sipendi niwe na kapo nyingi kama MO11 amaa...Ha ha haaa sawa, ila aibu bado imenijaaaa.
Usiogope bby...jus be free nami. Afu wajua niko 'single" wasije kukuwahi bhanaa, sipendi niwe na kapo nyingi kama MO11 amaa...
Wewe ndo wa kwanzaaa....niwahi bhanaa usicheleweeeSingle tena DUH
Hainogi, nataka wa kushindana naye. Kuwa mkweli una wanawake wangapi?
[emoji15] [emoji15]Niko kamili mkuu...mwenyewe jipangee
Wewe ndo wa kwanzaaa....niwahi bhanaa usicheleweee
Nakuona tu Valentina....watoa mimacho tuu, karibu[emoji15] [emoji15]
Wala uc'hoff cocochanel utakuwa na Valentina nadhani hapo kichwa kitasumbuka vizuri...Nataka mzoefu mimi, atakayenisumbua kichwa.
Kwi kwi kwiiiii
Wala uc'hoff cocochanel utakuwa na Valentina nadhani hapo kichwa kitasumbuka vizuri...