Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wewe unaota aisee😂Nataka nikunyooshe uache shobo na wanawake wa humu.
Una shoboka sana na pisi za humu... Halafu huna kila kitu unabaki kujikuta mh dc wa mchongo... Kuna siku utajikuta January Makamba...
Acha shobo na pisi za watu... Utapakwa mafuta...
Kabisa unawaza unaweza kuninyoosha?? Labda unipe nikuzibue hiyo washeli😂
Sio najikuta, mm ni master, tapeli, dalali alafu mjanja mjanja sana. Sio najikuta January makamba tu hadi majaliwa , huko tiktok nasepa na Kijiji kila siku na nawazibua kwerikweriii. Wananiita mwamposa
Wewe utakua ulikua hujanijua vizuri, mm ni zaidi ya kichomi
Mademu wote huwa nawaona wangu kama mswati vile, natumia uchawi na pesa kuwanasa na kuwa karibu nao. Njoo nikupe dawa uache kulialia