Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nimerudi bongo mkuu.. zenji kupata dem mpaka ujue kusoma albadirihuko zenji unakosa mali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimerudi bongo mkuu.. zenji kupata dem mpaka ujue kusoma albadirihuko zenji unakosa mali?
Hapana bhana binafsi nitakuja kujulikana na wengi tu nafahamiana nao ,ku fake mda mwingne inazuia fursa mbalimbali.Wee ndio ulijimix humu hutakiwi kujulikana, tunaishi kimafia 😂😂😂
Unajua lamomy picha yako nimeiweka theme wasap.? Bonge ya pisi yani! Kalaga baho nai-drim deile asee! Hapo kariakoo unauza bidhaa gan?Njombe mi kinga’s
broker mkubwa hivyo huwezi kosa maliNimerudi bongo mkuu.. zenji kupata dem mpaka ujue kusoma albadiri
Muda wa pilau huubroker mkubwa hivyo huwezi kosa mali
usiseme sasa ni siriMuda wa pilau huu
Pilau inaumiza tumbo ,ina maviungo mengi ,hiyo kitu nikila lazima niende hospital 🥲Muda wa pilau huu
Mimi naipenda tena yenye nyama nyingi☺️Pilau inaumiza tumbo ,ina maviungo mengi ,hiyo kitu nikila lazima niende hospital 🥲
Pesa zinapita ila jitahidi zipitie mikononi mwako.!!ningekuwa na mihela nisingeulizwa maswali hivi
Nikisikia harufu yake tu nahisi tumbo kuvuruga 😁Mimi naipenda tena yenye nyama nyingi☺️
Mimi napenda nikiwa nakula linatoa sauti☺️Nikisikia harufu yake tu nahisi tumbo kuvuruga 😁
😂😂😂 wacha weee!!Unajua lamomy picha yako nimeiweka theme wasap.? Bonge ya pisi yani! Kalaga baho nai-drim deile asee! Hapo kariakoo unauza bidhaa gan?
Unaona saaaasa? Hii ni labeling mkuu jf inaamin kila mtu kajipata! Mm hata kutongoza vizur sijajua ndo najarib jarib kwa ephen_ mana nampenda sana na naiman atanipa mtajibroker mkubwa hivyo huwezi kosa mali
MmmhUnajua lamomy picha yako nimeiweka theme wasap.? Bonge ya pisi yani! Kalaga baho nai-drim deile asee! Hapo kariakoo unauza bidhaa gan?
Kiaje?Mimi napenda nikiwa nakula linatoa sauti☺️
Maamuzi yako ikikupendeza, ila wengine kina sisi hatuhitaji hivi tulivyo ndio pouwa.!!Hapana bhana binafsi nitakuja kujulikana na wengi tu nafahamiana nao ,ku fake mda mwingne inazuia fursa mbalimbali.
Lete details mkuu mambo yasiwe mengiMmmh
Leo nimevuta mjani asubuhi, ukitaka details sema
Nikiwa natafuna linatoa sauti basi pilau linanoga☺️Kiaje?
Unahitaji details zipi? Be freeLete details mkuu mambo yasiwe mengi