ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
😂Nijikondeshe kwanini? Hapa yenyewe nimepungua kg 5 roho inaniumaa kesho naenda sokoni kununua rundo la maparachichi na karangasi ulisema unajikondesha?
kwanza siamini wewe bonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Nijikondeshe kwanini? Hapa yenyewe nimepungua kg 5 roho inaniumaa kesho naenda sokoni kununua rundo la maparachichi na karangasi ulisema unajikondesha?
kwanza siamini wewe bonge
Sasa kama pilau linatoa sauti na crips je?Nikiwa natafuna linatoa sauti basi pilau linanoga☺️
Mpaka hapo umeshindwa kunishawishi, ukijipanga tena upya utanishtua nije kuangalia km umekwiva sawa totoo 😂😂😂tukatesti kwanza nanilii halafu tutajua
Crips haitoi sauti tamu☺️Sasa kama pilau linatoa sauti na crips je?
Sasa pilau na ubwabwa si vinafanana kasoro viungo...Crips haitoi sauti tamu☺️
Unanichosha! Shule ulipata D ngapi?Sasa pilau na ubwabwa si vinafanana kasoro viungo...
uwe fit😉😂Nijikondeshe kwanini?
Hapa yenyewe nipo fit hadi watu wanaogopa😉uwe fit😉
nitumie pichaaaaa....Hapa yenyewe nipo fit hadi watu wanaogopa😉
na mimi naendelea kumeza mateMpaka hapo umeshindwa kunishawishi, ukijipanga tena upya utanishtua nije kuangalia km umekwiva sawa totoo 😂😂😂
Labda nikupe account yangu ya ig😉nitumie pichaaaaa....
Nikumbushe kesho inshaAllah!em lete tuone
mi sina lakini😉
Anhaa mi nilijua pilau chakula kumbe unazungumzia morning glory... Basi sawa ..Unanichosha! Shule ulipata D ngapi?
chaiNikumbushe kesho inshaAllah!
Tuna matani?🤔chai
Bado huna D za kutosha!!Anhaa mi nilijua pilau chakula kumbe unazungumzia morning glory... Basi sawa ..
kama huwezi tuma saivi ni chaiTuna matani?🤔
Nilipata D mbili ..Bado huna D za kutosha!!
Tufanye ni chai!kama huwezi tuma saivi ni chai